Hawa Richmond ni wahindi wabongo,at least mmoja wao,wana kaofisi ka secretarial mtaa wa Mkwepu kanaitwa Richmond pia.
Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm Ccm
Gazeti sawa, lakini kumbukeni waandishi watakuwa haohao. Vipi kuanzisha chama cha siasa au kujiunga na CHADEMA? Mnaonaje hili wazo as a longterm solution?
Kumbe mda mrefu Dr hana Imani na CDM
Tanzania kuna Kashfa nyingi tu, kashfa ya Richmond,Kashfa ya EPA na sasa Kashfa ya ESCROW . Tanzania Bila ya Kashfa na Ufisadi hatuwezi kuendelea hayo ndiyo Maendeleo yetu. Ma-Kashfa ya kumwaga Ufisadi, Ukimwi, Ujambazi Baadhi ya viongozi wetu wengi wao ni Wasanii tu.
Bandugu,
Kuna habari zipo mtaani zinadai kuwa ni JK mwenyewe ndio aliingizwa mjini na Richmond na wala Msabaha hahusiki. Kuwa kununua kutoka kwa wale jamaa ilikuwa ni directive kutoka kwa JK mwenyewe!!
Kama kuna mwenye uhakika naomba amwage humu!!
FD
Prof mbona hatukusomi maana kuna yes or no?Bila shaka hiyo ni kweli. JK huwa anapenda hata mambo madogo yeye mwenyewe, hili asingeliacha.
Yaani, Jasusi ndo unatambua leo kuwa tuna uongozi mbaya? Pole sana!
Mkandara,
nasema hayo kwasababu nipo CCM na naipenda CCM. CCm sio mbaya ni baadhi ya wanachama wake ndio wabaya. Sasa ikitokea watu walioshiba kihela na mawazo wakasema enough is enough, JK hapa hatukubaliani, JK naye akasema nimesema JSM hauziki kwa wananchi, JSM akasema OK kama siuziki najiondoa chama na wanaomuunga mkono wakaondoka naye... hapo kimbembe kwasababu waelewa woote wataondoka naye.
Upinzani wengi ni kama nilivyosema hapo juu, asikudanganye mtu ukaenda upinzani, utajuta!. Fikiria kama wangekua na mawazo mmbadala si wangeungana?, we unafikiri CCM tungepata 80%?, ila baadhi ya hao wapinzani ni wana CCM waliopandikizwa. Tamaa umeiona, Dk Kabourou hakuwa mtu wa kurudi CCM, jamaa anakubalika Kigoma kama rais!, angalia tamaa ya madaraka na tumbo!
Kwa ufupi bob hatuna WAZALENDO. Kama umeelewa mchango wa OGAH hapo juu utaelewa. Tenda wanapeana halafu hata ku performe hawawezi!
Ila naamini wajukuu wetu wataichukua hii nchi kwa nguvu kama wakiendelea na mtindo huu. Hakuna lisilo na mwisho. Wapo wapi marais wa maisha? Banda, Mobutu Kabanga sese seko etc?
Haya ya Richmond iko siku mtu ataulizwa hadharani na atapata haki yake kwa alichokifanya.
Baadaye ndugu yangu.