Kampuni ya tathmini ya Moody's yaipandisha daraja Tanzania kutoka B2 kwenda B1

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,340
Kampuni ya kutoa tathmini ya nchi juu ya uwezo wake wa kukopa na kulipa madeni, credit rating agency iitwayo Moody's imeipandisha daraja nchi ya Tanzania kutoka B2 kwenda B1.

Pamoja na hilo nchi yetu bado iko kwenye kundi la nchi ambazo hazitabiriki. Yaani kuikopesha na kulipwa ni bahati nasibu.

Haya ndio madaraja ya tathmini kwa makampuni 3 yanayotambulika Duniani kwa kufanya tathmini ya nchi (Sovereign Credit Rating Agencies), S&P, Moody's na Fitch.

Fitch wao mwaka jana walituweka kwenye kundi la B+. S&P ama Standard and Poor hawajawahi kutufanyia tathmini.
images (1).png

Soma taarifa ya Wizara ya Fedha hapa kwenye mtandao wa X.

View: https://twitter.com/mofURT/status/1771647255432266025?s=19
 
Kampuni ya kutoa tathmini ya nchi juu ya uwezo wake wa kukopa na kulipa madeni, credit rating agency iitwayo Moody's imeipandisha daraja nchi ya Tanzania kutoka B2 kwenda B1.

Pamoja na hilo nchi yetu bado iko kwenye kundi la nchi ambazo hazitabiriki. Yaani kuikopesha na kulipwa ni bahati nasibu.

Haya ndio madaraja ya tathmini kwa makampuni 3 yanayotambulika Duniani kwa kufanya tathmini ya nchi (Sovereign Credit Rating Agencies), S&P, Moody's na Fitch.

Fitch wao mwaka jana walituweka kwenye kundi la B+. S&P ama Standard and Poor hawajawahi kutufanyia tathmini.
View attachment 2943153
Soma taarifa ya Wizara ya Fedha hapa kwenye mtandao wa X.

View: https://twitter.com/mofURT/status/1771647255432266025?s=19

🙏🙏 Uchumi wa Samia is very strong

View: https://www.instagram.com/p/C43xAMfNWep/?igsh=MWN3dHVyZnJwZnBvYQ==
 
Kampuni ya kutoa tathmini ya nchi juu ya uwezo wake wa kukopa na kulipa madeni, credit rating agency iitwayo Moody's imeipandisha daraja nchi ya Tanzania kutoka B2 kwenda B1.

Pamoja na hilo nchi yetu bado iko kwenye kundi la nchi ambazo hazitabiriki. Yaani kuikopesha na kulipwa ni bahati nasibu.

Haya ndio madaraja ya tathmini kwa makampuni 3 yanayotambulika Duniani kwa kufanya tathmini ya nchi (Sovereign Credit Rating Agencies), S&P, Moody's na Fitch.

Fitch wao mwaka jana walituweka kwenye kundi la B+. S&P ama Standard and Poor hawajawahi kutufanyia tathmini.
View attachment 2943153
Soma taarifa ya Wizara ya Fedha hapa kwenye mtandao wa X.

View: https://twitter.com/mofURT/status/1771647255432266025?s=19

deni la Taifa letu ni stahimilivu sana, lakini pia ni himilivu mno, na kwahivyo, kwa mipango makini ya kiuchumi iliyopo na kasi ya ukuaji wa uchumi wenyewe nchini, Tanzania inaaminika zaidi na Inakopesheka kitaifa na kimataifa.

Inatia moyo sana, inaleta faraja kwa waTanzania, kwamba tuna uwezo wa kukopa lakini pia tuna uwezo wa kulipa tena kwa wakati muafaka, na zaidi sana mipango na kazi za maendeleo zinaonekana bayana kwa macho na katika maisha ya waTanzania 🐒

Tunakopa, waTanzania wanafaidika na kunufaika, Tunasonga Mbele 🐒🐒 🐒
 
Kampuni ya kutoa tathmini ya nchi juu ya uwezo wake wa kukopa na kulipa madeni, credit rating agency iitwayo Moody's imeipandisha daraja nchi ya Tanzania kutoka B2 kwenda B1.

Pamoja na hilo nchi yetu bado iko kwenye kundi la nchi ambazo hazitabiriki. Yaani kuikopesha na kulipwa ni bahati nasibu.

Haya ndio madaraja ya tathmini kwa makampuni 3 yanayotambulika Duniani kwa kufanya tathmini ya nchi (Sovereign Credit Rating Agencies), S&P, Moody's na Fitch.

Fitch wao mwaka jana walituweka kwenye kundi la B+. S&P ama Standard and Poor hawajawahi kutufanyia tathmini.
View attachment 2943153
Soma taarifa ya Wizara ya Fedha hapa kwenye mtandao wa X.

View: https://twitter.com/mofURT/status/1771647255432266025?s=19

Tusubiri tuone Lema na Mdude watakuwa na maoni gani
 
Mood's walikuja hapa, Mwigulu akawalamba miguu. Kwa hiyo msitegemee waje na kitu kibaya...
 
Back
Top Bottom