Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,738
- 220,864
Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Vikao vya Kamati Kuu ya Chadema, ambayo sasa imedhihirika kwamba ndio Chama cha Siasa chenye Wanachama wengi zaidi Nchini Tanzania ( inatajwa kuwa na wanachama hai zaidi ya mil 15), Vingali vinaendelea.
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba tayari Wagombea wote wa Nafasi mbali mbali kwenye kanda wamekwisha Sailiwa, tunachosubiri ni Majina yatakayotangazwa kusonga mbele huku mengine yakichujwa, Hata hivyo Tunaomba radhi kwa matatizo ya Internet yaliyotokea Nchini Tanzania
Usiondoke JF
Hali ilikuwa hivi
Taarifa ya sasa inaeleza kwamba tayari Wagombea wote wa Nafasi mbali mbali kwenye kanda wamekwisha Sailiwa, tunachosubiri ni Majina yatakayotangazwa kusonga mbele huku mengine yakichujwa, Hata hivyo Tunaomba radhi kwa matatizo ya Internet yaliyotokea Nchini Tanzania
Usiondoke JF
Hali ilikuwa hivi