Kama umetafuta kazi bila mafanikio kwa muda mrefu ukakosa, ukioa utapata kazi ndani ya mwezi mmoja

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Dec 30, 2016
3,872
9,729
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe.

Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha kumtegemea mtu na utagundua kuwa kumbe kazi mtaani Zipo nyingi sana.

Fanya hivyo utanishukuru baadaye.
 
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe.

Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha kumtegemea mtu na utagundua kuwa kumbe kazi mtaani Zipo nyingi sana.

Fanya hivyo utanishukuru baadae.
mi shuhuda mwanamke anaongeza nyotaaa !! mi mambo yangu yalikua hayaendi ila niliamua kuoa na nilikua sina kazi watu wakawa wanashangaa.
Nilivooa tu aisee madili kama yote huwezi lala njaa
 
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe.

Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha kumtegemea mtu na utagundua kuwa kumbe kazi mtaani Zipo nyingi sana.

Fanya hivyo utanishukuru baadae.
mwanamke unaoa bure? na hauna ramani?... Ewe kijana kama hauna ramani usikimbilie kuoa
 
mwanamke unaoa bure? na hauna ramani?... Ewe kijana kama hauna ramani usikimbilie kuoa
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe.

Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha kumtegemea mtu na utagundua kuwa kumbe kazi mtaani Zipo nyingi sana.

Fanya hivyo utanishukuru baadaye.

mi shuhuda mwanamke anaongeza nyotaaa !! mi mambo yangu yalikua hayaendi ila niliamua kuoa na nilikua sina kazi watu wakawa wanashangaa.
Nilivooa tu aisee madili kama yote huwezi lala njaa

Umesema kweli
Ukioa Mungu anakupa ridhoki ya mkeo ila ukiwa bachela utahangaika
Vijana oeni mfungue nyota

Ukishaoa milango inafunguka

Wasipokuelewa shauri yao
Acheni kudanganyana, kama unatafuta kifo cha mapema fanyeni huo ujinga.
 
Ewe kijana kama upo tu nyumbani huna ramani unashinda umelala siku nzima unaona kazi siku hizi hamna, basi haraka sana tafuta mwanamke uoe.

Nakuhakikishia utapata kazi haraka sana na utaacha kumtegemea mtu na utagundua kuwa kumbe kazi mtaani Zipo nyingi sana.

Fanya hivyo utanishukuru baadaye.
Kupata mwanamke wakukuvumilia jobless na shida zako ni nadra sana hapa mjini labda mashangazi age 35-...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom