Zile tetesi za kuwaleta wachezaji niliowataja hapo juu,ni za kusikitisha sana kwani viongozi wetu wanaendekeza siasa badala ya uhalisia wa mprira wenyewe.
Hata hivyo bado kuna tetesi kuwa coach wa timu amewakataa wachezaji hao kwani kwa sasa hawachezi.
Hawa viongozi wanashindwa kijifunza kwa makosa waliyofanya kwa Luis.
Binafsi nikisikia wameachia nafasi hizo waingie viongozi wengine nitaona wamefanya la maana sana kuliko ilivyo sasa ninaona kama tu wapo kwa maslahi yao binafsi
Hata hivyo bado kuna tetesi kuwa coach wa timu amewakataa wachezaji hao kwani kwa sasa hawachezi.
Hawa viongozi wanashindwa kijifunza kwa makosa waliyofanya kwa Luis.
Binafsi nikisikia wameachia nafasi hizo waingie viongozi wengine nitaona wamefanya la maana sana kuliko ilivyo sasa ninaona kama tu wapo kwa maslahi yao binafsi