live on
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 792
- 1,269
Shida kubwa katika hi nchi ni ufisadi uliyokithiri Kwa watumishi wa umma
Kama kweli tunataka Tanzania mpya kupitia katiba mpya basi lazima iwekwe Sheria ya kunyonga mafisadi
Kila mwaka tutakuwa tunaangalia report ya CAG na kujua ni akina nani wanastahili kunyongwa mwaka huu
Zaidi ya hapo hiyo katiba haitakuwa na faida yoyote Kwa wananchi wa kawaida
Kama kweli tunataka Tanzania mpya kupitia katiba mpya basi lazima iwekwe Sheria ya kunyonga mafisadi
Kila mwaka tutakuwa tunaangalia report ya CAG na kujua ni akina nani wanastahili kunyongwa mwaka huu
Zaidi ya hapo hiyo katiba haitakuwa na faida yoyote Kwa wananchi wa kawaida