johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,071
- 143,882
Rais Samia amesharidhia Dr Faustine Ndugulile kwenda kuihudumia Dunia kama atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika
Endapo atateuliwa kuitumikia Dunia basi Ubunge wa Kigamboni utakuwa Wazi na itakuwa fursa muhimu kwa Paul Makonda na Yericko Nyerere wa Chadema kuchuana kuelekea Mjengoni
Baadae Mlale Unono 😄😄🔥
Endapo atateuliwa kuitumikia Dunia basi Ubunge wa Kigamboni utakuwa Wazi na itakuwa fursa muhimu kwa Paul Makonda na Yericko Nyerere wa Chadema kuchuana kuelekea Mjengoni
Baadae Mlale Unono 😄😄🔥