A
Anonymous
Guest
Nimempeleka mke wangu Kwa ajili ya kujifungua katika kutuo cha AFYA cha serikali Ulyankulu. Na ikahitajika kufanyiwa upasuaji ila cha ajabu gharama nilizopewa nilishangaa sana. Huduma ilisuasua hadi pale nilipotoa pesa waliyohitaji.
Nilijaribu kukutana na Daktari na kumuuliza kwanini fedha na najua huduma ya upasuaji Kwa Kuna mama wajawazito Ni bure alinijibu kuwa serikali haitoi dawa WALA fedha za kutosha kuendesha kutuo so lazima kulipia Kama sitaki wanipe rufaa na mgonjwa wangu.
1. Je kwanini serikali inafumbia Jambo hili macho?
2. Kama serikali inasema huduma Ni bure na tunatozwa pesa kwanini watu Hawa wasichukuliwe hatua
3. Kumekuwa na changamoto ya dawa. Dawa muhimu zote zinazoletwa na serikali Kwa ajili ya watoto na wajawazito zinauzwa katika maduka ya dawa
Nilijaribu kukutana na Daktari na kumuuliza kwanini fedha na najua huduma ya upasuaji Kwa Kuna mama wajawazito Ni bure alinijibu kuwa serikali haitoi dawa WALA fedha za kutosha kuendesha kutuo so lazima kulipia Kama sitaki wanipe rufaa na mgonjwa wangu.
1. Je kwanini serikali inafumbia Jambo hili macho?
2. Kama serikali inasema huduma Ni bure na tunatozwa pesa kwanini watu Hawa wasichukuliwe hatua
3. Kumekuwa na changamoto ya dawa. Dawa muhimu zote zinazoletwa na serikali Kwa ajili ya watoto na wajawazito zinauzwa katika maduka ya dawa