Ngongo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2008
- 19,047
- 31,577
Hongera sana wana Kenya kwa uchaguzi uliokuwa wa uwazi mkubwa. Katika Afrika bado sijaona uchaguzi ulioendeshwa vizuri kuliko huu wa Kenya.
Ukweli mchungu Uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kupotezeana muda tu.
Nirejee kwenye mada kila nikipiga hesabu jumla ya matokeo yote ya uRais naishia kupata 100.01%. Naomba kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea hiyo 0.1% inatoka wapi mbona kama kuna harufu ya wizi wa kura ?.
1. Ruto 7,176,141 50.49%
2.Odinga 6,942,930 48.85%
3. Luchiri 61,969 0.44%
4. Mwaure 31,987 0.23%
Total 100.01%
Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani.
Ukweli mchungu Uchaguzi Tanzania ni sehemu ya kupotezeana muda tu.
Nirejee kwenye mada kila nikipiga hesabu jumla ya matokeo yote ya uRais naishia kupata 100.01%. Naomba kusahihishwa kama nitakuwa nimekosea hiyo 0.1% inatoka wapi mbona kama kuna harufu ya wizi wa kura ?.
1. Ruto 7,176,141 50.49%
2.Odinga 6,942,930 48.85%
3. Luchiri 61,969 0.44%
4. Mwaure 31,987 0.23%
Total 100.01%
Ngongo kwasasa najiandaa kufanya mtihani yangu ya PCM mwakani.