Jinsi ya kuishi na Mwenza mwenye maambukizi ya VVU au UKIMWI

Real quick.
FB_IMG_16619804466537503.jpg
 
Habari wakuu

Uzoefu:Nimeishi na mwenza mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu sana kwa takribani miaka 5 (2014-2019),katika kipindi chote hiki tulishiriki vyema mambo yote haya yale ya kujamiana na sote tulifurahia,kwasasa tumeachana lakini sina maambukizi hata tukipima sina maambukizi.

Kanuni za kuishi na mwenza mwenye maambukizi ya Ukimwi

1.Kumtanguliza Mungu na pia uwe na imani ya dhati kuwa huwezi pata maambukizi.

2.Ukweli na Uwazi.Jua taarifa zote za mwenza wako ikiwemo mahudhurio yake ya kliniki,maendeleo ya kinga yake ya mwili (Kama imepanda,imeshuka au kawaida),CD4 kati ya 500-1400 hawezi kukupa maambukizi hata mkifanya tendo,CD4 ya 1000-1500 hata akipimwa Virusi haviwezi kuonekana,CD4 ya chini ya 200 hapa ukijaribu tuu atakuambukiza.Inatakiwa ujue hadi maendeleo yake ya kumeza dawa za ARV's na uweze kumsimamia,hizi ni dawa ambazo hata kuzimeza tuu ni changamoto,huwa zinamchosha sana muathirika hasa baada ya kuzimeza zinahitaji mtu aliyeshiba vizuri.Muda sahihi wa kuzimeza ni ukimeza tuu unaingia kulala,hufanya mtu hadi kupata kizunguzungu yani zinachosha kweli.Pia ujue kuhusu idadi ya Viral loads,pia itakusaidia kufahamu zaidi kuhusu kinga yake ipo yake katika hali gani.

3.Mlinde,Atakulinda.Maambukizi mapya ni hatari sana kwa mtu mwenye maambukizi.

4.Maandalizi mazuri kabla ya Tendo.Ni vyema ufanye maandalizi mapema hakikisha muccus zinakuwa nyingi kila kona,usitumie vilainishi.Natural one is good.

5.Usiende zaidi ya round tatu kwa siku (Bao tatu),madaktari hutoa maelekezo kuhusu Bed shows na nyakati sahihi za Show za kibabe.

6.Hakikisha mwenza wako anazingatia maelekezo yote aliyopewa na daktari hasa kuhusu Mlo kamili,Mazoezi,Matumizi shihi ya dawa,idadi ya round na maelekezo mengine.

N.B: Mimi wa kwangu nilikua nampeleka hadi Hospitali kufata dawa na maelekezo ya daktari.

Lakini pia wenza hawa wanaweza kuzaa na mtoto asipate maambukizi yoyote.Hata kama ndio mwenye maambukizi anaweza akashika ujauzito na akajifungua salama tuu na mtoto asipate maambukizi hata kidogo,ila kanuni hizo nimezitaja ni lazima zizingatiwe kwa 100%.
Dunia ina mambo...Hii ndio nasikia leo
 
Ninyi si ndio mmejaa kwenye uzi wa kimasihara? Leo hii mnaogopa HIV hivyo… Kwahiyo kule huwa mnafurahisha genge au?

Anyways sijawahi kuusoma uzi wenyewe kwahiyo nisiwashutumu bure ndugu zangu.

Mkuu mleta uzi kongole, lakini nini kimetokea mmeachana, binafsi nimesikitika can you share?
 
Habari wakuu

Uzoefu:Nimeishi na mwenza mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu sana kwa takribani miaka 5 (2014-2019),katika kipindi chote hiki tulishiriki vyema mambo yote haya yale ya kujamiana na sote tulifurahia,kwasasa tumeachana lakini sina maambukizi hata tukipima sina maambukizi.

Kanuni za kuishi na mwenza mwenye maambukizi ya Ukimwi

1.Kumtanguliza Mungu na pia uwe na imani ya dhati kuwa huwezi pata maambukizi.

2.Ukweli na Uwazi.Jua taarifa zote za mwenza wako ikiwemo mahudhurio yake ya kliniki,maendeleo ya kinga yake ya mwili (Kama imepanda,imeshuka au kawaida),CD4 kati ya 500-1400 hawezi kukupa maambukizi hata mkifanya tendo,CD4 ya 1000-1500 hata akipimwa Virusi haviwezi kuonekana,CD4 ya chini ya 200 hapa ukijaribu tuu atakuambukiza.Inatakiwa ujue hadi maendeleo yake ya kumeza dawa za ARV's na uweze kumsimamia, hizi ni dawa ambazo hata kuzimeza tuu ni changamoto, huwa zinamchosha sana muathirika hasa baada ya kuzimeza zinahitaji mtu aliyeshiba vizuri. Muda sahihi wa kuzimeza ni ukimeza tuu unaingia kulala,hufanya mtu hadi kupata kizunguzungu yani zinachosha kweli. Pia ujue kuhusu idadi ya Viral loads,pia itakusaidia kufahamu zaidi kuhusu kinga yake ipo yake katika hali gani.

3.Mlinde,Atakulinda.Maambukizi mapya ni hatari sana kwa mtu mwenye maambukizi.

4.Maandalizi mazuri kabla ya Tendo.Ni vyema ufanye maandalizi mapema hakikisha muccus zinakuwa nyingi kila kona,usitumie vilainishi.Natural one is good.

5.Usiende zaidi ya round tatu kwa siku (Bao tatu),madaktari hutoa maelekezo kuhusu Bed shows na nyakati sahihi za Show za kibabe.

6.Hakikisha mwenza wako anazingatia maelekezo yote aliyopewa na daktari hasa kuhusu Mlo kamili,Mazoezi,Matumizi shihi ya dawa,idadi ya round na maelekezo mengine.

N.B: Mimi wa kwangu nilikua nampeleka hadi Hospitali kufata dawa na maelekezo ya daktari.

Lakini pia wenza hawa wanaweza kuzaa na mtoto asipate maambukizi yoyote.Hata kama ndio mwenye maambukizi anaweza akashika ujauzito na akajifungua salama tuu na mtoto asipate maambukizi hata kidogo,ila kanuni hizo nimezitaja ni lazima zizingatiwe kwa 100%.
Umetumwa wewe na hawa watoto wanaozaliwa na hawa wazazi wa ukimwi wanaolewa wengine wakigunduliwa wanaachwa daa!

Huku mtaani namba ya watu wenye ukimwi naona watu tunaojuana inaongezeka ila kitaifa inapungua mpaka huwa najiuliza hawa wanaoongezeka kitaani kwetu ni wa taifa gani?

VVU ni silaha ya kibaolojia kwa mataifa yanayoendelea ipo siku itafika watu wengi kwenye hizi nchi watakuwa tumeshaathirika na tutaanza kuishi bila ARV hutoboi wakitaka kitu mkitaka kuzingua wanawambia hatuleti ARV mnanyongonyea mnawapa tu na wanawafanya wanavyowataka

Na sisi tulioathirika kwa sasa ndo vibaraka wa mataifa hayo tukipende kizazi tunachokiacha kama umegundulika usisambaze kwa makusudi kizazi kijacho kitatawaliwa vibaya sana #pinned_reply leo tarehe 27/10/2023 naandika haya miaka ijayo tusipobadilika hili litatimia
 
Habari wakuu

Uzoefu:Nimeishi na mwenza mwenye maambukizi ya virusi vya ukimwi tukiwa katika mahusiano ya muda mrefu sana kwa takribani miaka 5 (2014-2019),katika kipindi chote hiki tulishiriki vyema mambo yote haya yale ya kujamiana na sote tulifurahia,kwasasa tumeachana lakini sina maambukizi hata tukipima sina maambukizi.

Kanuni za kuishi na mwenza mwenye maambukizi ya Ukimwi

1.Kumtanguliza Mungu na pia uwe na imani ya dhati kuwa huwezi pata maambukizi.

2.Ukweli na Uwazi.Jua taarifa zote za mwenza wako ikiwemo mahudhurio yake ya kliniki,maendeleo ya kinga yake ya mwili (Kama imepanda,imeshuka au kawaida),CD4 kati ya 500-1400 hawezi kukupa maambukizi hata mkifanya tendo,CD4 ya 1000-1500 hata akipimwa Virusi haviwezi kuonekana,CD4 ya chini ya 200 hapa ukijaribu tuu atakuambukiza.Inatakiwa ujue hadi maendeleo yake ya kumeza dawa za ARV's na uweze kumsimamia, hizi ni dawa ambazo hata kuzimeza tuu ni changamoto, huwa zinamchosha sana muathirika hasa baada ya kuzimeza zinahitaji mtu aliyeshiba vizuri. Muda sahihi wa kuzimeza ni ukimeza tuu unaingia kulala,hufanya mtu hadi kupata kizunguzungu yani zinachosha kweli. Pia ujue kuhusu idadi ya Viral loads,pia itakusaidia kufahamu zaidi kuhusu kinga yake ipo yake katika hali gani.

3.Mlinde,Atakulinda.Maambukizi mapya ni hatari sana kwa mtu mwenye maambukizi.

4.Maandalizi mazuri kabla ya Tendo.Ni vyema ufanye maandalizi mapema hakikisha muccus zinakuwa nyingi kila kona,usitumie vilainishi.Natural one is good.

5.Usiende zaidi ya round tatu kwa siku (Bao tatu),madaktari hutoa maelekezo kuhusu Bed shows na nyakati sahihi za Show za kibabe.

6.Hakikisha mwenza wako anazingatia maelekezo yote aliyopewa na daktari hasa kuhusu Mlo kamili,Mazoezi,Matumizi shihi ya dawa,idadi ya round na maelekezo mengine.

N.B: Mimi wa kwangu nilikua nampeleka hadi Hospitali kufata dawa na maelekezo ya daktari.

Lakini pia wenza hawa wanaweza kuzaa na mtoto asipate maambukizi yoyote.Hata kama ndio mwenye maambukizi anaweza akashika ujauzito na akajifungua salama tuu na mtoto asipate maambukizi hata kidogo,ila kanuni hizo nimezitaja ni lazima zizingatiwe kwa 100%.
Duh pmj na hayo Ila bdo mkuu , kuweka maisha rehab hvyo ni changamoto kwakweli
 
Ninyi si ndio mmejaa kwenye uzi wa kimasihara? Leo hii mnaogopa HIV hivyo… Kwahiyo kule huwa mnafurahisha genge au?

Anyways sijawahi kuusoma uzi wenyewe kwahiyo nisiwashutumu bure ndugu zangu.

Mkuu mleta uzi kongole, lakini nini kimetokea mmeachana, binafsi nimesikitika can you share?
Yes i can... njoo P.M 😌
 
Haya mambo yapo! Mimi nikiwahi kuishi kimahusiano na mtu mwaka mzima na miezi 7 bila kujua anatumia dawa, hadi siku nilipoziona chumbani kwake, nilipaniki sana nikaenda kupima hospital nyingiii Niko salama hadi Leo,
Mambo haya yasikie tu kwa jirani.
Ukimwi ni propaganda
 
Acha kupotosha vijana pumbavu wewe, wenye ukimwi wachukuane wenyewe kwa wenyewe.
Uchezee shilingi kwenye shimo la choo?
Hivi, bila matusi, ujumbe haufiki?
Mara ngapi unaweza kuhisi tu kwa kumuona mtu kama ana maambukizi?! Na we mwenyewe unajua kichwa cha chini kisivyokuwa na akili na subira, wangapi wanajipa imani na wanazama!
Haya, umeshajua anao,na ndo umempenda.
Kwani wao si watu? Kama alivyoeleza mtoa mada,ushahidi upo,na ukweli ndo huo. Inawezekana watu wakaishi,wakafanya yao,na wasiambukizane.
 
Unatuona sisi manyani 😁
Kivipi Evelyn Salt ? Huamini! Ni wachache kwa sasa wenye ubavu wa kupima kwanza. Japokuwa pia,kama kaupata wiki ngapi zilizopita,mkipima si utamkuta salama!
Nadhani hapa ni kwenye kule kulana matunda kimasihara,unataka,mwenzio hataki,unalazimisha,kitu kinazama. Pengine ukiambiwa ni nao,utasikia poa tu. Dakika kama tano,mawazo yanakuwa mengi na majuto juu. Au mwanamke,ndo kaliwa kimasihara,na kaachiwa. Angefanyeje labda! Na hawa ndo wengi na mdo wahanga wa hili jambo! Sababu,likitokea la kutokea, mwanaume ni asilimia ndogo kupata ukilinganisha na mwanamke,ambaye ni asilimia ndogo kuondoka salama.

Ila ukweli,ni jambo linalowezekana
 
Back
Top Bottom