Jinsi Magufuli alivyochafuaga sera ya mambo ya nje na kupaka doa sehem ndogo ya taswira ya mzee MWINYI (kupitia kwa Rais Samia)

Kabudi hakuwa waziri May 2016,aliteuliwa kuwa mbunge January 2017 je huo uwaziri wa May 30 2016 aliupataje? Uongo huo mdogo unafanya gazeti lote ulilo liandika lionekane porojo. May 30 2016 waziri wa mambo ya nje alikuwa Mahiga,Kabudi aliteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje mwezi March 2019.
very nice nimefurah angalau umenikosoa kwa fact,ni kweli si may 30 2016,the year was 2019!
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Shida ya jamii forum hadi mijinga na mishamba ....majitu ya ovyo vyo nayo yanajifanya machambuzi kumbe wanaandika ushuziii tu
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Mnachoshindwa wapuuzi nyie kukitenganisha ni hayo madudu yote kwamba yalifanywa na CCM.

Endelea kutupa facts zinazounga nukta
 
Licha ya taarifa zako kwenye andiko lako kuwa na utata mwingi ; wacha nikueleze kitu.


Hakuna siku nchi hii itaendelea kwa kutegemea misaada ya wahisani.
Umewahi kujiuliza hao wahisani wao walipewa misaada na nani mpaka kufikia maendeleo makubwa waliyonayo hii leo?
Una hoja ila sio kwa staili aliyotaka kufanya"jiwe",kiufupi alikua anafanya cheap poltics kwenye mambo mazito.Alikua mlevi wa madaraka
 
You will never understand the context kama unakimbilia ku'praise your ego mkuu.Kwanza mada imejieleza vzuri sana vip ningetumia lugha ya sanaa ungetoka na kitu kweli!?
Kenge wewe, achana na waliokufa sote tutakufa.., Kila siku Magufuli utadhani alikutia mimba. Nchi Ina matatizo kibao mnahangaika na marehemu huna topic nyingine za kuongelea!?,narudia tena wewe ni Kenge.
 
Kabudi hakuwa waziri May 2016,aliteuliwa kuwa mbunge January 2017 je huo uwaziri wa May 30 2016 aliupataje? Uongo huo mdogo unafanya gazeti lote ulilo liandika lionekane porojo. May 30 2016 waziri wa mambo ya nje alikuwa Mahiga,Kabudi aliteuliwa kuwa waziri wa mambo ya nje mwezi March 2019.
Asante!
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Loliondo ilikuwaje?
 
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Tuhuma za kijinga sana hizi kutoka kwa mtu mjinga

1. Msikiti huo ulishajengwa na upo Kinondoni kama inavyoonekana hapo chini
1709650606750.png

1709650657206.png

2. Kiwanja cha michezo Dodoma hapo nane nane mlikwamisha ninyi wezi na wewe ukiwemo ila usanifu ulikuwa tayari. Mlichonga mpaka mfalme akaghairi kutoa pesa kisha mwamba akaahidi kujenga kwa kutumia pesa za ndani lakini mkauangusha mbuyu kabla haujafanya chochote ili mje muanze kashifa kama hizi
1709650890524.png

Majizi mnasumbuka sana lakini kuna siku mtalia na kusaga meno
 

Attachments

  • 1709650843933.png
    1709650843933.png
    86.9 KB · Views: 1
Hayati mzee Mwinyi alitenda mengi mazuri na mema kwa nchi, japo nae kama binadamu anamapungufu yake. Huu ni wakati wa maombolezo lakini kuna jambo lilifanywa na Samia miaka miwili iliyopita kwa kumpatia zawadi mzee Mwinyi ambalo linatia doa haiba ya marehem mzee wetu. Kama sijasahau ilikuwa siku kuu ya mzee Mwinyi, SAMIA alimzawadia gari aina mercedez Benz ambalo Samia alisema Serikali imemzawadia mzee Mwinyi Benz la chini. Najua unajihoji hii inashida gani

Nitaeleza

Tar 30 may 2016 Profesa Kabudi aliliambia bunge na dunia kwamba Tanzania haina haja sana na misaada ya nje na hivyo kupelekea sera ya nje ya Tanzania kubadilika.In addition to that kwa wasiojua muelekeo huo ndio ulianzisha msururu wa makodi na vyombo vya mapato kubinywa ili kuongeza mapato na hivyo kuanza safar ya mlolongo wa Makodi mpaka haya tunayoyaona leo. Anyway turudi kwenye track,basi kutokana na sera ya nje kubadilika Tanzania ilibadili muelekeo wake kuhusu sera ya mambo ya nje,nitaonesha..

Tanzania ilibadili mtazamo wake kuhusu Palestina na Sahara magharibi.Ile sera ya utu na kutopenda kuona wengine wakionewa ilibadilika na Magufuli akawa anaangalia tu nan atakayenipa hela.Mwaka huohuo Magufuli alianza mahusiano na mfalme Mohamed wa sita wa Morocco,kumbuka Morocco inaitawala Sahara magharibi toka mwaka 1975 na mwaka 1984 Morocco ilijitoa kwenye iliyokuwa OAU!

Tanzania ya Nyerere na Mwinyi haikupendezwa na tabia ya Morocco kuikalia Western Sahara..Magufuli alibadili hilo anacheki tu hela.

Mfalme Mohammed wa sita na Magufuli walisaini zaidi ya makubaliano 23!Mojawapo ya hayo ni ile ya kupewa eneo la 7400sqm Dar ili ajenge msikiti mkubwa ambao ungeitwa Mohammed VI mosque, pia alitoa kopi 10,000 za koran!Mlioko Dar tuambieni huo msikiti ushajengwa au hela zilipigwa😄.

Jingine mfalme alikubali kusaidia ujenzi wa kiwanja cha michezo chenye kugharimu dola milioni 100 kwenye mji mkuu wa Dodoma, mlioko Dodoma tuambieni hicho kiwanja mnakiona hapo au ndio hela ilishapigwa😅😅😅

Sasa haiba iliyotiwa dosari ya mzee Mwinyi inaingia wap hapa. Iko hivi mfalme Mohammed VI baada ya Magufuli ku-nullify sera ya Tanzania dhidi ya Morocco alimpa zawadi ya magari aina ya Mercedez Benz kadhaa. Magufuli alipokea zawadi hyo na magari hayo yakahifadhiwa, kumbuka hii ni kama hongo baada ya kuwa umekubali anayeminywa aendelee kuminywa (in this case western Sahara). Mojawapo ya magari yale ndilo ambalo Rais wetu mpendwa aliona amzawadie MZEE MWINYI!

Binafsi nilishangaa na niliona ni kama kupakaza uchafu kwenye kitu safi.

R.I.P Mzee Mwinyi
Umetumia mat*ko kuandika??
 
Licha ya taarifa zako kwenye andiko lako kuwa na utata mwingi ; wacha nikueleze kitu.


Hakuna siku nchi hii itaendelea kwa kutegemea misaada ya wahisani.
Umewahi kujiuliza hao wahisani wao walipewa misaada na nani mpaka kufikia maendeleo makubwa waliyonayo hii leo?
Ngozi nyeusi tumelaaniwa mkuu wengi hawajitambui yanajua misaada inakuja bure
 
Back
Top Bottom