Jinsi gani ya kuagiza bidhaa China?

Yofav

JF-Expert Member
Mar 12, 2021
3,984
6,976
Habari, wana ndugu

Ni saa 7:30 usiku huu nikijaribu kutafuta majibu sahihi ya ni jinsi gani naweza kuagiza bidhaa kutoka China hadi kunifikia mikononi mwangu kwa uhakika zaidi.

Nina application ya Alibaba kwenye cm yangu na hua bidhaa zinanivutia kweli, ila cjui naanzaje kuagiza, na hata ningeweza kuagiza ila mzigo wangu naupataje na wapi? Malipo ya usafiri yapoje na mzigo unafika muda gani baada ya kuweka oda?

Hayo ni maswali ambayo sina majibu hadi muda huu kwani cjawahi kuagiza kabla,.Tafadhali naomba ambae ni mzoefu na ana ujuzi katika hili, naomba majibu PM.

Asanteni sana na MUNGU Awabariki.
 
Ingia jukwa la teknolojia itakuta mjadala hiyo.

 
Kuna njia nyingiz za kununua mzigo toka China.

Unaweza nunua mwenyewe kwa kuchagua item Alibaba (Tafuta verified suppliers) kisha lipia kulingana na njia rahisi kwako kulipa (TT,PayPal) hakikisha malipo unafanya kwa njia ambazo siko supported na Alibaba.

Pia unaweza watumia maagent walioko China na wanaofisi Tz wakununulie,then wakutumie na ufate mzigo wako ofisini kwao.

Kuhusu kusafirisha ni unaweza chagua either supplier ndio afanye shipping (Ina depend na ukubwa wa mzigo ) by air au sea au pia mzigo wako unaweza kuutuma kwa Shipping companies zinazo ship toka China to TZ by air au sea then utatumiwa mzigo wako na kuufata kwao.

By sea wana charge kwa CBM (30 + days kufika mzigo)by air kwa KG (Around 7 days mzigo kufika)

Hope umepata mwanga mkuu
 
Kuna njia nyingiz za kununua mzigo toka China.

Unaweza nunua mwenyewe kwa kuchagua item Alibaba (Tafuta verified suppliers) kisha lipia kulingana na njia rahisi kwako kulipa (TT,PayPal) hakikisha malipo unafanya kwa njia ambazo siko supported na Alibaba.

Pia unaweza watumia maagent walioko China na wanaofisi Tz wakununulie,then wakutumie na ufate mzigo wako ofisini kwao.

Kuhusu kusafirisha ni unaweza chagua either supplier ndio afanye shipping (Ina depend na ukubwa wa mzigo ) by air au sea au pia mzigo wako unaweza kuutuma kwa Shipping companies zinazo ship toka China to TZ by air au sea then utatumiwa mzigo wako na kuufata kwao.

By sea wana charge kwa CBM (30 + days kufika mzigo)by air kwa KG (Around 7 days mzigo kufika)

Hope umepata mwanga mkuu
Thanks man
 
Ingia jukwa la teknolojia itakuta mjadala hiyo.

Thanks man
 
Back
Top Bottom