Jifunze kuendesha (ku-control) nafsi ili kujikomboa katika vifungo na kuwa msaada kwa wengine

Mungu wa haki anaumbaje watu bila ya idhini ya hao watu kuumbwa?

Yani Mungu wa haki anajipaje yeye haki ya kuumba watu kabla hao watu hawajamruhusu huyo Mungu kuwaumba?

Kumuumba mtu bila idhini yake kuumbwa si haki.
Akili zingine mbovu kweli hata hazifikirii eti hao watu hawajamruhusu yaani kwanza hajawaumba halafu unataka awaulize wewe unawazo la kutengeneza kiti unaweza kukiuliza kwenye mawazo kuwa nikuunde ama nisikuunde sasa chenyewe kitakuwa kimeamua au wewe
 
Akili zingine mbovu kweli hata hazifikirii eti hao watu hawajamruhusu yaani kwanza hajawaumba halafu unataka awaulize wewe unawazo la kutengeneza kiti unaweza kukiuliza kwenye mawazo kuwa nikuunde ama nisikuunde sasa chenyewe kitakuwa kimeamua au wewe
Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na mabaya?
 
Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na

Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na mabaya?
Hakuna mahali nimemdogosha Mungu, nachojua Mungu ni muweza wa yote! Na hapangiwi sasa wewe unachotaka ni kumpangia! Akuulize wewe nani?? Huo mfumo unaoutaka unataka aje ake na wewe umwelezee akusikilize ndo afanye!

Huo mfumo unaoutaka kama yeye muumbaji hajaweka! Siku akiamua mwenyewe ataweka na anabaki kuwa Mungu

Hilo swali la kiti nilikuuliza wewe kimantiki embu kuwa na kufikiri hata kidogo maana unaleta vitu ambavyo havipo!

Hakuna mahali Mungu aliumba mabaya, na huu ulimwengu uliumbwa safi kabisa pasipo kuwa na mabaya yoyote ni mwanadamu mwenyewe kwa kukosa, na kuanguka ndio mabaya yakaingia kwa kumsikiliza shetani na kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu!
 
Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na aqmabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na mabaya?
Mkuu samahani kwa hili, Ila sifahamu ni kwa nini nikiona hoja zako huwa Sina kipingamizi, lakini wakati huo nazielewa nadhani Kuna ulazima wa kuelewa umaana wa hoja hizo dhaifu unazopinga.!? sifahahamu huu mkanganyiko kitaalamu unaitwaje au unawezaje kabilianayo vipi.?
 
Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na

Sasa yeye si Mungu mwenye uwezo wote, ina maana kashindwa kuweka mfumo wa kuweza kuuliza watu kabla hawajazaliwa?

Kwa nini unamdogosha huyo Mungu kwa kumfananisha na seremala mtengeneza kiti asiyeweza kukiuliza kiti kama kinataka kuumbwa? Kwani kiti kina uhai? Kwani seremala ananuwezo wote?

This fallacy is called logical non sequitur.

Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu huu uwe unaoweza kuwa na mabaya wakati aliweza kuumba usiweze kuwa na mabaya?
Hakuna mahali nimemdogosha Mungu, nachojua Mungu ni muweza wa yote! Na hapangiwi sasa wewe unachotaka ni kumpangia! Akuulize wewe nani?? Huo mfumo unaoutaka unataka aje ake na wewe umwelezee akusikilize ndo afanye!

Huo mfumo unaoutaka kama yeye muumbaji hajaweka! Siku akiamua mwenyewe ataweka na anabaki kuwa Mungu

Hilo swali la kiti nilikuuliza wewe kimantiki embu kuwa na kufikiri hata kidogo maana unaleta vitu ambavyo havipo!

Hakuna mahali Mungu aliumba mabaya, na huu ulimwengu uliumbwa safi kabisa pasipo kuwa na mabaya yo ni mwanadamu mwenyewe kwa kukosa, na kuanguka ndio mabaya yakaingia kwa kumsikiliza shetani na kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu!
 
Kuna vitu mpaka sasa siwez kuviamini kama vipo...MUNGU NA SHETANI na sielewi nitumie mbinu gani ili niamin kimoja wapo kipo? mana nimesali sana makanisa kibao nimejitaid niwe na imani kweri kwer nilichokipenda huku utulivu wa nafsi huku ukitegemea baadae , kwa upande wa shetani nimeroga sana sijui njombe, sumbawanga, malawi, zambia, nijeri nimetoa mpaka kafara za damu.,, lakini sijaona uwepo wa hivi vitu majini sijui msukule nk baada ya kufanya hayo nikajigundua sikustaili kuwepo hapa dunian labda kuna sehemu yangu ya kuish mana sion tena umuhimu wa haya maisha yaan dunian nilikuja tafuta pesa, kujenga kuoa na kufa how? labda mtoa mada ungenieleza kiundan na kama kuna sehemu naweza ona majini hata ndondocha polepole nirudishe iman ila kwa sasa meng naona janja janja japo kuwa nina kipawa ndan yangu
maisha ni ujinga tu sijui tunafanya nini hapa duniani kifupi tunazaliwa ili kungoja siku ya kufa.! na kuhusu shetani hio niuongo tu maana hana kitu chamaana alichofanya nichukue kama ushaidi wa uwepo wake.!
 
Kuna vitu mpaka sasa siwez kuviamini kama vipo...MUNGU NA SHETANI na sielewi nitumie mbinu gani ili niamin kimoja wapo kipo? mana nimesali sana makanisa kibao nimejitaid niwe na imani kweri kwer nilichokipenda huku utulivu wa nafsi huku ukitegemea baadae , kwa upande wa shetani nimeroga sana sijui njombe, sumbawanga, malawi, zambia, nijeri nimetoa mpaka kafara za damu.,, lakini sijaona uwepo wa hivi vitu majini sijui msukule nk baada ya kufanya hayo nikajigundua sikustaili kuwepo hapa dunian labda kuna sehemu yangu ya kuish mana sion tena umuhimu wa haya maisha yaan dunian nilikuja tafuta pesa, kujenga kuoa na kufa how? labda mtoa mada ungenieleza kiundan na kama kuna sehemu naweza ona majini hata ndondocha polepole nirudishe iman ila kwa sasa meng naona janja janja japo kuwa nina kipawa ndan yangu
Ka waganga kuna namna ambayo uliwahi kuona ni kama wamekusaidia mahala?labda kuvuka jaribu fulani ama vipi
 
Na msaidia kujibu alafu naomba ukianza mada zako kama ulivyosema hapo just uni tag mkuu ,,, jibu ni kwamba Mungu wetu ni mwenye haki na mwenye hekima. Yeye anajua kila kitu kuhusu sisi na maisha yetu, na hivyo anaweza kufanya maamuzi kulingana na haki yake. Kama tunafanya mambo mabaya au kinyume na mapenzi yake, tunaweza kutarajia adhabu au matokeo mabaya. Lakini pia, Mungu ni mwenye rehema na upendo, na anaweza kutusamehe na kutuonyesha njia ya kurekebisha makosa yetu. Hivyo, ni muhimu kumtii Mungu na kufuata njia zake ili tuweze kuepuka adhabu na kupata baraka zake.
angetuumba tusiokosea. yani saivi tusingekua hapa tungekua tunaimba na kusifu
 
Sioni madhara yoyote kwa mtu kuambiwa Mungu yupo

Madhara yote ulioyaandika hapo ni Ukosefu wa elimu sahihi kuhusu Mungu

Siyo kila kitu unachoomba kwa Mungu lazima akupe, hata wewe mwenyewe siyo kila kitu unachoombwa na mwanao lazima umpe

Mimi Naamini Mungu yupo na anatenda kazi
kazi ipi
Hakuna mtu anaweza kuniambia ujinga huo halafu nimwache bila kumpa kipigo cha mbwa koko

Kwa mjibu wa Biblia Mungu alisema na tufanye mtu kwa mfano wetu, hivyo ulivyo wewe ni mfano wa Mungu!!

Sasa iweje mwehu mmoja aniambie ujinga huo na mimi nimwangalie tu?
hapana mimi sio mfano wa mungu.!
 
Salamu Mkuu Kiranga siku utakayo jaaliwa neema ya kuujua utukufu wa MUNGU hata kidogo tu, ndio utakua hujui, na ndipo utaukumbuka msemo wa wahenga kwamba "ujanja mwingi mbele kiza"

Kuna vitu kuvielezea physically haimake sense (yaani hakuna maelezo yanayoweza kuuelezea(100%) utukufu wa MUNGU, at highest degree of maximum satisfaction.))

Mfano: Mtu anaweza akakwambia ameongea na Mungu, sasa kwa hali ya kwawaida unamchekiiiii! arafu unajisemea hivi huyu anatuchukuliaje.

Ila kupitia imani ukaexperience mwenyewe kwa usaidizi wa Roho matakatifu ndio unaaweza ukajua hali halisi...unaposema wakusibitishie mambo ya kiroho kwa kutumia kanuni za kimwili unakua unakosea na unachanganya mambo mawili tofauti kabisa( quiet different).

Jambo jema ni kwamba MUNGU anatumainika licha ya kuwa YEYE NDIO MKUU, UFALME UTUKUFU NA NGUVU NI ZAKE MILELE NA MILELE (TO INFINITY) lakini ni mwingi wa rehema. Ukimwita Anaitika Ukimuomba anajibu na ukigonga hodi anafungua.

***Ona hekima ya MWENYEZI MUNGU mambo yote yako ndani ya uwezo wake lakini kwa kuwa yeye ni MUNGU wa haki hataki/haoni kama ni busara kukulazimisha wewe umfuate yeye wala hataki kukushawishi wala kukutisha kwa namna yoyote ile umpende yeye... anachotaka wewe mwenyewe kwa uhuru wako kutoka Moyoni mwako uamue kumfuata (yaani kwa hiari yako)

Sasa mkuu MUNGU ALIKUEPO YUPO NA ATAKUEPO YEYE NDIO MWANZO NA MWISHO

There was no beginning without GOD.
He is the Source Creator and Sustainer of everything.

He did not begin when beginning began, He began the beginning... He did not start when start got started, He started start.


Kama unataka kumjua MUNGU ni rahisi tu mtafute kwa nia ya dhati kabisa(na sio kwakujaribu).
asa nibora anitishe au anisibitishie uwepo wake kuliko kuniacha ili badae anichome moto.!?
 
Back
Top Bottom