Mkuu, ni vizuri ungetupa darasa kidogo process nzima maana watu wengi ni wageni na masuala haya ya e-commerce
mkuu ingekuwa poa mka toa somo vizuri kwa sababu watu wengi wana penda wa fahamu..msaada mkuu
wakuu ni bora mfungue uzi mpya ili mtueleze kwa kiref kuhusu ebay na paypal
C6 In case kama ungelipia shipping, cost ingekua around sh ngapi??
na kwa nini hakuna tax?
Kumbuka kuwa CRDB wanapiga online transaction fee ya 22,000/=
uwe umefanya 1 au 100
ENJOY
Papizo, kwa ushauri wako, ebay ipi ni nzuri kwa watanzania?