zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 19,258
- 29,102
Na huu ndio unafiki wenyewe, imagine January angezima mtambo alafu wiki mbili baadae afungulie maji kisa yamejaa mno!! Kama naona ambavyo mngetaka anyongwe hadharani!Nafikilia kuwa hii ya Nyerere na kule Mtera ni tofauti, pale Nyerere mradi bado mbichi as kuwashwa mitambo yote, laiti ingekuwa on alafu tukasikia kuzimwa na kumwagwa maji lazima swali lako lingekuwa mujarabu.