Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,508
- 11,321
Ebu tupitie vugu vugu la kuelekea uchafuzi mwaka 2025.
Rais wa sasa huyu mtoeni na hana sifa za umri na kikatiba, wajibu wake kiumri, kichama na kikatiba yeye anapaswa kwenda kulea wajukuu huo ndio umri sahihi wa miaka 65 mwakani.
Pia genge lolote linalotaka kujisahaulisha mtazamo wao unaweza kubebwa na ulafi japo ikumbukwe hesabu zinakataa.
Umri
1. Hussein Mwinyi -57
2.January Makamba 50
3. Mwigulu Nchemba 49
4. Ridhiwani Kikwete 44
5. Dk . Emmanuel Nchimbi 59
Hesabu za Utumishi kwa mlengo wa kupokezana vijiti vya Imani pia zinakataa kwa namna yoyote.
Je, embe chini ya mnazi linaweA kuharibu ndoto za watu kwa awamu nyingine tena.
Je mnazi kwenye shamba la majembe unaweza kutumia jeuri, kibri na maguvu?
Ngoja tuone na madunduzi yanavyo dunda dunda na midundozi.
Msione wamelala wapo tu ila hawana usingizi wakati ukifika tutayaona mengi.
Ni hayo tu maisha yaendelee
Karibu kwa kimuhemuhe
Wadiz
Rais wa sasa huyu mtoeni na hana sifa za umri na kikatiba, wajibu wake kiumri, kichama na kikatiba yeye anapaswa kwenda kulea wajukuu huo ndio umri sahihi wa miaka 65 mwakani.
Pia genge lolote linalotaka kujisahaulisha mtazamo wao unaweza kubebwa na ulafi japo ikumbukwe hesabu zinakataa.
Umri
1. Hussein Mwinyi -57
2.January Makamba 50
3. Mwigulu Nchemba 49
4. Ridhiwani Kikwete 44
5. Dk . Emmanuel Nchimbi 59
Hesabu za Utumishi kwa mlengo wa kupokezana vijiti vya Imani pia zinakataa kwa namna yoyote.
Je, embe chini ya mnazi linaweA kuharibu ndoto za watu kwa awamu nyingine tena.
Je mnazi kwenye shamba la majembe unaweza kutumia jeuri, kibri na maguvu?
Ngoja tuone na madunduzi yanavyo dunda dunda na midundozi.
Msione wamelala wapo tu ila hawana usingizi wakati ukifika tutayaona mengi.
Ni hayo tu maisha yaendelee
Karibu kwa kimuhemuhe
Wadiz