utukufu mwanjisi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2017
- 2,833
- 2,422
Habari ndugu zanguni.
Nahitaji kuelimishwa hili, kama kuna uwezekano kuishitaki serikali endapo itaingia mkataba wowote ambao utahatarisha ajira za waajiriwa wao.
Nauliza tu ili niweze kutanua uelewa wa baadhi ya mambo.
Nahitaji kuelimishwa hili, kama kuna uwezekano kuishitaki serikali endapo itaingia mkataba wowote ambao utahatarisha ajira za waajiriwa wao.
Nauliza tu ili niweze kutanua uelewa wa baadhi ya mambo.