maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
Habari za humu ndani naamini ninyi ni wazima
Mimi nauliza tu Maana kila moja anajua kitu gani kinakwenda kufanywa na ccm.
Kwanini isianzishwe mikutano ya kudai mchakato wa katiba na tume ya Uchaguzi nchi nzima Maana mda umeisha sana mwakani ni Uchaguzi wa serikali za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.
Kuna haja gani ya Uchaguzi kama hakuna katiba na tume huru ya uchaguzi?
Mimi nauliza tu Maana kila moja anajua kitu gani kinakwenda kufanywa na ccm.
Kwanini isianzishwe mikutano ya kudai mchakato wa katiba na tume ya Uchaguzi nchi nzima Maana mda umeisha sana mwakani ni Uchaguzi wa serikali za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.
Kuna haja gani ya Uchaguzi kama hakuna katiba na tume huru ya uchaguzi?