Kuna watu humu, walikuwa wanatudanganya kuwa, Kikwete alikuwa mwandani wa Nyerere.Na alikuwa anampelekea Nyerere Siri zote za nchi. Na kwamba Nyerere...
Mpaka Nyerere anastaafu urais 1985 Kikwete was a nobody kwenye chama au serikali.

Tulikuwa tunawajua kina Salim, Makweta, Makinda, Mkapa, Chiduo, Machunda etc. Nje ya waliosoma naye na kufuatilia DARUSO na habari za siasa za chama waliofuatilia makamisaa wa chama jeshini, not only Nyerere, but also the general public did not know Kikwete.

Kikwete kaanza kujulikana kwenye siasa za kitaifa wakati wa Mwinyi.

Kipindi cha Nyerere mimi nilikuwa na kidaftari, nilikuwa naandika mawaziri na manaibu waziri wote, nilikuwa natatizwa sana na wazo la kwamba Nyerere akifa katika hawa waliobaki wote hakuna Nyerere mwingine. Nikasema tukiwa wakubwa viongozi watakuwa dhaifu sana. Hapo mtoto wa darasa la nne.

Na utabiri wangu umetimia.
 
Mpaka Nyerere anastaafu urais 1985 Kikwete was a nobody kwenye chama au serikali.

Tulikuwa tunawajua kina Salim, Makweta, Makinda, Mkapa, Chiduo, Machunda etc. Nje ya waliosoma naye na kufuatilia DARUSO na habari za siasa za chama waliofuatilia makamisaa wa chama jeshini...
Ana Makinda ana mwili mzuri,Ni kibibi wa kitambo sana na ndio maana ana msimamo sana kwenye issue anazoziamini ni sahihi

Alijitahidi sana kuendesha bunge kisomi
 
Wanajamvi sina mda nakusalimuni Sanaa

Poleeni kwa Msiba mkubwa wa Nchi yetu.

Leo nimeona nite hojaa

Monekano wa Raisi mstaafu Kikwete kwenye msiba wa Hayati Mwinyi ni tofauti kabisa Leo kwa ufupi Ana furaha kuliko msiba wa hayati Lowasa alikuwa anaonekana mwenye huzuni Sanaa na furaha hakuna kabisaa.

Wachunguzii na wataalamuu embu tujadili hilii nini cha tofauti ukizingatia Mh hayati mzee Mwinyi na Lowassa wanamchango mkuwa kwake
 
Rais mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika kuhani msiba wa Hayati Ali Hassan Mwinyi huko Mikocheni Dar es Salaam ameonekana akiwa na huzuni kubwa sana na masikitiko makubwa akiwa anaongea na vyombo vya habar...
Kama Mwinyi ndo alimfiisha hapo Kikwete basi APUMZIKE ANAKOSTAHILI.

Kumbe ndo alituletea balaa hili¡?
 
Back
Top Bottom