mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,417
- 7,036
Habari za muda!
Kwa mujibu wa maandiko, Mungu alilichagua taifa la Israeli kama taifa lake teule, akilipa amri zake kwa njia ya maagano, ili wazifuate na wasiziasi.
Pamoja na hayo, Israeli waliasi mara nyingi. Bado Mungu alikuwa na imani nao, akawapelekea agano tena kupitia Yesu Kristo, bado wakamkataa.
Hapo Mungu hakuwa na budi ila kuuhamisha ufalme na kuupeleka taifa jingine. Uteule wa taifa la Israeli uliondoka punde baada ya kumkataa Yesu na kumtoa ili asulibishwe na Pilato.
Israeli ya kimwili ilishaisha, kwa sasa, Mungu anamuhesabu ni Myahudi mtu yeyote anayeamini Yesu ni BWANA kwa kukiri kwa kinywa. Hii ndiyo Israeli ya kiroho, ambayo Mungu yupo nayo.
Israeli ya kimwili imekufa ni taifa kama mataifa mengine tu, si wateule TENA wa Mungu.
Regards!
Kwa mujibu wa maandiko, Mungu alilichagua taifa la Israeli kama taifa lake teule, akilipa amri zake kwa njia ya maagano, ili wazifuate na wasiziasi.
Pamoja na hayo, Israeli waliasi mara nyingi. Bado Mungu alikuwa na imani nao, akawapelekea agano tena kupitia Yesu Kristo, bado wakamkataa.
Hapo Mungu hakuwa na budi ila kuuhamisha ufalme na kuupeleka taifa jingine. Uteule wa taifa la Israeli uliondoka punde baada ya kumkataa Yesu na kumtoa ili asulibishwe na Pilato.
Israeli ya kimwili ilishaisha, kwa sasa, Mungu anamuhesabu ni Myahudi mtu yeyote anayeamini Yesu ni BWANA kwa kukiri kwa kinywa. Hii ndiyo Israeli ya kiroho, ambayo Mungu yupo nayo.
Israeli ya kimwili imekufa ni taifa kama mataifa mengine tu, si wateule TENA wa Mungu.
Regards!