Israel inazidi kupoteza ushindi katika mipaka ya Lebanon Kichapo ni cha Moto!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,596
8,636
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
 
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
Kama iliweza kuwachapq waarabu wote basi hapo hamuwawezi
 
Kama kambi za antiye Americant zinapelekewa moto basi hata yeye usalama wake wamashaka
Americant anaenda kuiacha mido ist kwa aibu sana
Ile kansa yao pale itakua ishapatiwa dawa kwahakika
Hamas na Hizbullah kamatieni hapo hapo mpaka magaidi waondoke ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
 
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
Muslim kila Vita mnajidai ni washindi huku damu nyingi zikiwamwagika naAllah Akbar wao ana loose blood kama zote. Vita zote za Israel Muslim wanashangilia Ushindi yaani Takiya hadi wanapopoteza vita na mali zote.. yaani ni sawa unapigana na mtoto akapata ngumi moja tu then ukaponda akazimia akiamka anasema amekupiga... ndio uislam
 
Israel ikae mezani ingawa sipo kwenye uwanja WA vita,huku Hamas,Kule Hizb-Allah huku Waouth,ukiwaangalia hao wote wanampiga mdogo mdogo atajchokea,sijui kama amejiandaa na mapigano ya mda mrefu.
Israel haogopi kitu kinachoitwa Islam wala Allah moon God Allah anayeapa kwa sayari
 
Muslim kila Vita mnajidai ni washindi huku damu nyingi zikiwamwakika na very Akbar loss of blood.. Vita zote za Israel Muslim wanashangilia Ushindi yaani Takiya hadi wanapopoteza vita na mali zote.. yaani ni sawa unapigana na mtoto akapata ngumi moja tu then ukaponda akazimia akiamka anasema amekupiga... ndio uislam
Ni ile hulka ya kutokujali damu za watu wengine
 
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
Hatariii.
 
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
Sema tu unataka views na subscribers wa video na chanel yako huko Youtube.
 
Israel imeendelea kupoteza ushindi baada ya askari wake kuuwawa sasa hivi katika mpaka wa Lebanon, Baada ya rocket kutupwakatika ardhi ya Israel na kuua vikosi vyake na mapambano bado ni makali sana siya rocket wala ya Drone hali ni tete sana! tazama sasa hivi Live Hapa Kichapo wanachopewa wayahudi siyo cha mchezo!
Hata wakati wa Saddam Hussein story zilikua hivyo hivyo mwisho akanyongwa
 
Ukifungua hiyo link hanari ni ya zamani walichoifanya ni kuilunch kama love view 10 masaa 14 na watu wanaponda media kwa kuwalisha matangopoli kaa ya huyu jamaa mtoa post
 
Kweli si ndio maana kashinda vita dhidi ya hamas
Anachofanya hapo Palestine ni Genocide. Mipango yake ni kujipanua kuongea eneo, hao Hamas ni watu wadogo sana, kwanza amesaidia kuitengeneza makusudi Hamas ili apate sababu ya kuongeza eneo na kuwaomdoa Palestine. Haina tofauti na US kutengeneza Al Qaeda kwa ajili kuchukua mafuta katika nchi za Middle East. Haya mambo unatakiwa kuwa na uelewa nayo na sio kushabikia tu hovyo.
 
Anachofanya hapo Palestine ni Genocide. Mipango yake ni kujipanua kuongea eneo, hao Hamas ni watu wadogo sana, kwanza amesaidia kuitengeneza makusudi Hamas ili apate sababu ya kuongeza eneo na kuwaomdoa Palestine. Haina tofauti na US kutengeneza Al Qaeda kwa ajili kuchukua mafuta katika nchi za Middle East. Haya mambo unatakiwa kuwa na uelewa nayo na sio kushabikia tu hovyo.
Hakuna cha ushabiki wala nini inajulikana kama anataka kujitanua na kujibebea eneo ila shida mpaka sasa kachemka na hatokaa afanikiwe
Suala la kuiunda hamas mwenyewe halaf anakuja anauliwa na hao hao hamas unaonaje hapa
Israhell atafyekwa na atakimbizwa ukanda wa ghaza kinguvu yaaani
 
Back
Top Bottom