Iraq: Ubalozi wa Sweden umefungwa sababu ya uchomaji wa Quran nchini Sweden.

The Assassin

JF-Expert Member
Oct 30, 2018
4,355
17,340
Ubalozi wa Sweden nchini Iraq umefungwa na balozi wa Sweden amefukuzwa nchini Iraq.

Sweden imefunga ubalozi huo baada ya waandamanaji kuuchoma moto kwa sababu ya tukio la kuchana chana na kupiga teke Quran lililofanyika nchini Sweden siku ya Alhamisi.

Sweden imesema inalaani kitendo cha waandamanaji kudhalilisha Quran nchini humo na haiungi mkono matukio kama hayo lakini hiyo ni haki ya waandamanaji na inalindwa kisheria.

Toka mwaka huu uanze hii ni mara ya 3 quran inachomwa moto na kuchanwa chanwa hadharani na tukio la hivi karibuni siku ya Idd raia wa Iraq anaeishi Sweden alichoma Quran hadharani nje ya msikiti mkuu wa mjini Stockholm.

Waandamanaji wameahidi hivi karibuni watachoma tena Quran moto.
 
Hao waandamanaji walioahidi kuchoma quran wanadai nini kwa waislam? Wakristo hata uchome biblia rundo hutaona wakiandamana na kuchoma balozi, utajisumbua bure, ukristo uko mioyoni mwa watu tangu zama na zama hautetereki na hautatetereka uko imara daima kama mlima sayuni. Sweden inasema haiwezi kuwazuia wananchi wake kuchoma vitabu vya dini haivitambui. Walichoma mpaka torah ya wayahudi lakini ubalozi wa swedeni ulioko israel haukuchomwa moto wala balozi wake kufukuzwa huko. Waislam tulieni muwe na uvumilivu kama wakristo na wayahudi
 
Hao waandamanaji walioahidi kuchoma quran wanadai nini kwa waislam? Wakristo hata uchome biblia rundo hutaona wakiandamana na kuchoma balozi, utajisumbua bure, ukristo uko mioyoni mwa watu tangu zama na zama hautetereki na hautatetereka uko imara daima kama mlima sayuni. Sweden inasema haiwezi kuwazuia wananchi wake kuchoma vitabu vya dini haivitambui. Walichoma mpaka torah ya wayahudi lakini ubalozi wa swedeni ulioko israel haukuchomwa moto wala balozi wake kufukuzwa huko. Waislam tulieni muwe na uvumilivu kama wakristo na wayahudi
Kila mtu analevo yake ya uvumilivu , mwengine ukimtukania Mama yake au umdhulumu hajali mwingine utakuwa ugomvi na kupambana kudai haki yake kea hiyo usifosi wote kuwa sawa.Mbona hausemi Waislamu Syria , Turkey , Afghanistan ,Albania , Turkmenistan , Lebanon ,Mauritania nk tena ni kundi hawajaandama ?

Fujo hazikubaliki na ni vizuri watu kuheshimiana.
 
Hao waandamanaji walioahidi kuchoma quran wanadai nini kwa waislam? Wakristo hata uchome biblia rundo hutaona wakiandamana na kuchoma balozi, utajisumbua bure, ukristo uko mioyoni mwa watu tangu zama na zama hautetereki na hautatetereka uko imara daima kama mlima sayuni. Sweden inasema haiwezi kuwazuia wananchi wake kuchoma vitabu vya dini haivitambui. Walichoma mpaka torah ya wayahudi lakini ubalozi wa swedeni ulioko israel haukuchomwa moto wala balozi wake kufukuzwa huko. Waislam tulieni muwe na uvumilivu kama wakristo na wayahudi
Wewe ulisikia lini waislam wakaandamana na kuchoma kitabu cha dini nyingine?
 
Aliyechoma ni raia wao , wanahasira na ubalozi wa inchi nyingine sehemu lilikotokea tukio!!
 
Hao waandamanaji walioahidi kuchoma quran wanadai nini kwa waislam? Wakristo hata uchome biblia rundo hutaona wakiandamana na kuchoma balozi, utajisumbua bure, ukristo uko mioyoni mwa watu tangu zama na zama hautetereki na hautatetereka uko imara daima kama mlima sayuni. Sweden inasema haiwezi kuwazuia wananchi wake kuchoma vitabu vya dini haivitambui. Walichoma mpaka torah ya wayahudi lakini ubalozi wa swedeni ulioko israel haukuchomwa moto wala balozi wake kufukuzwa huko. Waislam tulieni muwe na uvumilivu kama wakristo na wayahudi
Hatuwezi tuka kaa kimya kuvumilia upuuzi wa namna hiyo.
Tumewashauri Waislamu wenzetu waishio nchini Sweden kwamba kama serikali haitamkamata huyo aliyechoma Quran, basi Waislam tuanze kuhamia nchi nyingine za jirani na tutawataka waislam wote kuacha kwenda nchini Sweden hadi hapo serikali itakapomkamata mtu huyo.
Katika hili tupo serious na kamwe hatutarudi nyuma.
 
hivi kwanini wamekazana kukichoma hiko kitabu,wanasema nini sababu?
 
hivi kwanini wamekazana kukichoma hiko kitabu,wanasema nini sababu?
Ni ujinga tu,unachoma kitabu,wakati viko mamilioni duniani.Mbona waislamu hawachomi vitabu vya dini nyingine.Kama biblia ziko nyumbani,kwa waislamu na zimehifadhiwa vizuri tu.Wanapopita wanaotangaza ukristo majumbani mwa waislamu,wanapokelewa vizuri,na kusikizwa,mwisho wanaacha biblia kwa waislamu.
 
Ni ujinga tu,unachoma kitabu,wakati viko mamilioni duniani.Mbona waislamu hawachomi vitabu vya dini nyingine.Kama biblia ziko nyumbani,kwa waislamu na zimehifadhiwa vizuri tu.Wanapopita wanaotangaza ukristo majumbani mwa waislamu,wanapokelewa vizuri,na kusikizwa,mwisho wanaacha biblia kwa waislamu.
Kwani aliechoma hiko kitabu ni mkristo??
 
Hatuwezi tuka kaa kimya kuvumilia upuuzi wa namna hiyo.
Tumewashauri Waislamu wenzetu waishio nchini Sweden kwamba kama serikali haitamkamata huyo aliyechoma Quran, basi Waislam tuanze kuhamia nchi nyingine za jirani na tutawataka waislam wote kuacha kwenda nchini Sweden hadi hapo serikali itakapomkamata mtu huyo.
Katika hili tupo serious na kamwe hatutarudi nyuma.
Yani waislamu waliokimbia njaa kwenye nchi za kiislamu na kupewa hifadhi Sweden uwaambie waondoke Sweden wanaweza kukukata shingo.
 
Yani waislamu waliokimbia njaa kwenye nchi za kiislamu na kupewa hifadhi Sweden uwaambie waondoke Sweden wanaweza kukukata shingo.
Wazungu tele wapo nchi za kiislamu,na ni wengi tu,ukifika Dubai,Abudhabi,Qatar,Oman,Kuwait,Saudia, Iran,Iraq nk wamejazana,wamekimbia njaa kwao Ulaya.
 
Back
Top Bottom