Ipi tofauti kubwa Kati ya Judaism na Uislam?

Dini ya Kiyahudi wanaamini dini yao ilianza kipindi cha Abrahamu

In short ilikuwa ni dini ya kweli mwanzoni ila wakaja kuchanganya na mafundisho ya kipagani hasa kutoka Ugiriki

Wakaja kupoteana kabisa kipindi cha Yesu, Mafarasiyo na Masudukayo waliokuwa walimu wa dini ya Kiyahudi walipoacha torati na kufundisha sheria zao

Hapa ndipo Yesu akaanzisha Ukristo ili kuendeleza ibada inayokubalika kwa Mungu badala ya dini ya Kiyahudi
 
Dini ya Kiyahudi na Kikristo haziwezi kuungana kama mchungaji wako wa Kimara alivyosema

Dini ya Kiyahudi wanatumia Talmud kama kitabu kikuu cha mafundisho yao wakati Wakristo wanatumia Biblia. Kwa hiyo ni ngumu sana mafundisho ni tofauti kabisa.

Hapa ndipo inapoleta tofauti kati ya Uislam na Uyahudi, mmoja anatumia Quran na mwingine Talmud

Hivi vitabu vitakatifu na mafundisho yake na mapokeo ndivyo vinavyofanya iwe ngumu sana kwa hizi dini kuungana
 
Uislam haujaanza miaka 600AD Muislam wa kwanza ni Adam

Judism ni dini ya iliyoanzishwa na watu kama ulivyo ukristo manabii wote walikuwa waislam

Judism inatokana na Juda na Juda ni mtoto wa Jacobo so kabla ya Juda kuzaliwa hakukuwa na neno Juda Wala judism

Sasa Je! Jacobo, Isihaka na Ibrahim dini Yao ni ipi ?

Quran inasema Ibrahim, Isihaka na Jacobo hao wote ni manabii na walikuwa waislam

Achane kudanganyana mambo msiyoyajua kuhusu uislam
Kurani imeandikwa mwaka gani? Tuanzie hapo
 
Wanafuata sheria za allah na mojawapo ya sheria ya allah ni kuangamiza mayahudi.

Hao wayahudi waliumbwa na nani na kwa nini waangamizwe tena na maislamu? Hiyo dini yenu imepewa mamlaka ya kuangamiza binadamu? Kwa nini Mungu mwenyewe aliyewaumba kama hawataki asiwaangamize yeye? Acheni kutuletea uchuro hapa!
 
Uislam haujaanza miaka 600AD Muislam wa kwanza ni Adam

Judism ni dini ya iliyoanzishwa na watu kama ulivyo ukristo manabii wote walikuwa waislam

Judism inatokana na Juda na Juda ni mtoto wa Jacobo so kabla ya Juda kuzaliwa hakukuwa na neno Juda Wala judism

Sasa Je! Jacobo, Isihaka na Ibrahim dini Yao ni ipi ?

Quran inasema Ibrahim, Isihaka na Jacobo hao wote ni manabii na walikuwa waislam

Achane kudanganyana mambo msiyoyajua kuhusu uislam

Dini yako ya kiislamu imeanzishsa na Muhammad ambaye alikuwa maarabu na ndiyo maana hata maandishi ya vitabu vyenu ni ya kiarabu, zaidi ya hapo ni upuuzi mtupu unaouleta hapa!
 
Nafahamu Uislam ulikuja miaka 600 baada ya Yesu Kristo kuzaliwa

Na kwamba dini ya Judaism imekuwepo kitambo na hata Yesu alisali Hekaluni

Kuna mambo Judaism na Islam wanafanana ikiwemo kutawaza kabla ya ibada na kutokula aina fulani ya nyama ikiwemo kitimoto

Naomba kujua tofauti yao kubwa kwa ajili ya kujifunza

Nimemsikia mchungaji Mmoja pale Kimara akisema huko mbeleni Judaism na Christian wataungana na kuwa dini Moja kubwa, ndio nikapata tashwishwi ya kutaka kujifunza zaidi

Mungu wa mbinguni awabariki😄
Hata Waisilamu na Wakristo Wataungana na kuwa pamoja.

Tofauti nyingi ila kwa vita vinavyoendelea nakupa Utofauti mmoja.

Judaism walimkataa Yesu kama sio mtume wanamsubiria masihi wao aje, Uisilamu unakubali Yesu alikuwepo (Kama mtume) na unamsubiria Yesu kama Masihi...

According to uislamu na Ukristo Masihi wote wawili watakuja Yesu na Masihi Dajjal (Anti Christ)

Kuna Upande unamsubiria Yesu na Kuna Upande ambao tayari umemkataa Yesu unamsubiria mwengine.

Na Tunaambiwa Dajjal Sifa zake ni Deceiver, na Tunaona jinsi watu wanavyotumia Matrilioni ya Hela kuzisafisha hizo Sifa ZA Dajjal na kuzi normalize ili watu wa one ni kawaida.
 
Dini yako ya kiislamu imeanzishsa na Muhammad ambaye alikuwa maarabu na ndiyo maana hata maandishi ya vitabu vyenu ni ya kiarabu, zaidi ya hapo ni upuuzi mtupu unaouleta hapa!
Baba yake Mtume anaitwa Abdullah, Allah yupo hata kabla mtume Hajazaliwa na Hapo Mecca kabla ya mtume kuja walikua wakitumia sahifa za Ibrahim, it's just dini ilikua Corrupted watu wanamuabudu Mungu huku wanamshirikisha na masanamu na mambo mengine yasiyofaa ndio ikashushwa Quran kama kitabu cha Mwisho kukamilisha Dini ya Mwenyez Mungu.

So far wayahudi wana Talmud wameipoteza Torrah, Zaburi haijulikani lilipo, Wakristo wana Bible injili haipo etc. Hii ni proof kuwa mafundisho yamepotea na watu Wameingiza Maneno yao kwenye maneno ya mungu.
 
Nafahamu Uislam ulikuja miaka 600 baada ya Yesu Kristo kuzaliwa

Na kwamba dini ya Judaism imekuwepo kitambo na hata Yesu alisali Hekaluni

Kuna mambo Judaism na Islam wanafanana ikiwemo kutawaza kabla ya ibada na kutokula aina fulani ya nyama ikiwemo kitimoto

Naomba kujua tofauti yao kubwa kwa ajili ya kujifunza

Nimemsikia mchungaji Mmoja pale Kimara akisema huko mbeleni Judaism na Christian wataungana na kuwa dini Moja kubwa, ndio nikapata tashwishwi ya kutaka kujifunza zaidi

Mungu wa mbinguni awabariki😄
Kiufupi mudy alikuwa anafanya biashara na wayahudi,hivyo mambo mengi aliiga kwa wayahudi wakati anaanzisha dini yake ya mchongo
 
Nafahamu Uislam ulikuja miaka 600 baada ya Yesu Kristo kuzaliwa

Na kwamba dini ya Judaism imekuwepo kitambo na hata Yesu alisali Hekaluni

Kuna mambo Judaism na Islam wanafanana ikiwemo kutawaza kabla ya ibada na kutokula aina fulani ya nyama ikiwemo kitimoto

Naomba kujua tofauti yao kubwa kwa ajili ya kujifunza

Nimemsikia mchungaji Mmoja pale Kimara akisema huko mbeleni Judaism na Christian wataungana na kuwa dini Moja kubwa, ndio nikapata tashwishwi ya kutaka kujifunza zaidi

Mungu wa mbinguni awabariki😄
Yaani myahudi aunganishe Imani yake na Imani ya Mungu watatu,Mara Mungu mtu huyohuyo ndiyo Mungu mkuu na anombwa!?.. Judaism ni Imani juu ya Mungu mmoja asiyefanana na chochote
 
Acha uongo ndugu
Baba yake Mtume anaitwa Abdullah, Allah yupo hata kabla mtume Hajazaliwa na Hapo Mecca kabla ya mtume kuja walikua wakitumia sahifa za Ibrahim, it's just dini ilikua Corrupted watu wanamuabudu Mungu huku wanamshirikisha na masanamu na mambo mengine yasiyofaa ndio ikashushwa Quran kama kitabu cha Mwisho kukamilisha Dini ya Mwenyez Mungu.

So far wayahudi wana Talmud wameipoteza Torrah, Zaburi haijulikani lilipo, Wakristo wana Bible injili haipo etc. Hii ni proof kuwa mafundisho yamepotea na watu Wameingiza Maneno yao kwenye maneno ya mungu.
 
Dini ya Kiyahudi wanaamini dini yao ilianza kipindi cha Abrahamu

In short ilikuwa ni dini ya kweli mwanzoni ila wakaja kuchanganya na mafundisho ya kipagani hasa kutoka Ugiriki

Wakaja kupoteana kabisa kipindi cha Yesu, Mafarasiyo na Masudukayo waliokuwa walimu wa dini ya Kiyahudi walipoacha torati na kufundisha sheria zao

Hapa ndipo Yesu akaanzisha Ukristo ili kuendeleza ibada inayokubalika kwa Mungu badala ya dini ya Kiyahudi
Yesu hakuanzisha ukiristo,Paulo ndiye mwanzilishi wa ukiristo,yesu aanzishe ukiristo halafu asali hekaluni kwa itikadi za kiyahudi!?
 
Nafahamu Uislam ulikuja miaka 600 baada ya Yesu Kristo kuzaliwa

Na kwamba dini ya Judaism imekuwepo kitambo na hata Yesu alisali Hekaluni

Kuna mambo Judaism na Islam wanafanana ikiwemo kutawaza kabla ya ibada na kutokula aina fulani ya nyama ikiwemo kitimoto

Naomba kujua tofauti yao kubwa kwa ajili ya kujifunza

Nimemsikia mchungaji Mmoja pale Kimara akisema huko mbeleni Judaism na Christian wataungana na kuwa dini Moja kubwa, ndio nikapata tashwishwi ya kutaka kujifunza zaidi

Mungu wa mbinguni awabariki😄
Uislam upo tokea "Adam" hajakuwepo, aliukuta.
 
Back
Top Bottom