Gwele
JF-Expert Member
- Jun 7, 2016
- 2,298
- 2,857
Ukweli uwekwe wazi tu kuwa uwepo wa Inonga kwenye ligi yetu ya NBC premier League kunaipa heshima sana ikiwa ni kwa mara ya kwanza kwa mchezaji wa ligi yetu kucheza nusu fainali ya Afcon toka kuanzishwa kwake
Kwa hili nipeleke sifa za moja kwa moja kwa kamati ya usajili ya klabu ya Simba kwa kukileta hiki chuma kwenye ligi yetu, ni fahari kuwa nae na kila mtanzania mpenda soka ni vyema kujivunia uwepo wake kabla hajaondoka kwenye hii ligi
Inonga kwa sasa amekuwa nembo na kielelezo cha ubora wa ligi yetu, hivyo kama mtanzanzania mpenda soka popote ulipo bila kujali timu unayoshabikia unaweza kutembea kifua mbele kwamba tuna mtu kwenye nusu fainali za Afcon na probably anaweza kurudi nchini akiwa mshindi wa michuano hiyo
Ikumbukwe vipo vilabu vingi tu nchini vilivyojaza wacongo lakini hata tu kuitwa kukaa benchi kwenye kikosi cha Congo kama ilivyo kwa mchezaji wa Pyramid Fiston Kalala Mayele wameshindwa hiyo inaonyesha ni kwa namna gani ni wachezaji wa viwango duni.
Na hii pia ni somo kuwa quality ina matters zaidi kuliko wingi wa wachezaji zipo klabu zilizokuwa zikijisifu kuwa na wachezaji wengi kwenye michuano hii ya Afcon lakini mpaka muda huu hakuna hata mchezaji mmoja aliyesalia huko pamoja na wingi wao aliyejitahidi sana aliishia robo fainali na kilicho amua hayo yote ni quality zao tu.
Kwa hili nipeleke sifa za moja kwa moja kwa kamati ya usajili ya klabu ya Simba kwa kukileta hiki chuma kwenye ligi yetu, ni fahari kuwa nae na kila mtanzania mpenda soka ni vyema kujivunia uwepo wake kabla hajaondoka kwenye hii ligi
Inonga kwa sasa amekuwa nembo na kielelezo cha ubora wa ligi yetu, hivyo kama mtanzanzania mpenda soka popote ulipo bila kujali timu unayoshabikia unaweza kutembea kifua mbele kwamba tuna mtu kwenye nusu fainali za Afcon na probably anaweza kurudi nchini akiwa mshindi wa michuano hiyo
Ikumbukwe vipo vilabu vingi tu nchini vilivyojaza wacongo lakini hata tu kuitwa kukaa benchi kwenye kikosi cha Congo kama ilivyo kwa mchezaji wa Pyramid Fiston Kalala Mayele wameshindwa hiyo inaonyesha ni kwa namna gani ni wachezaji wa viwango duni.
Na hii pia ni somo kuwa quality ina matters zaidi kuliko wingi wa wachezaji zipo klabu zilizokuwa zikijisifu kuwa na wachezaji wengi kwenye michuano hii ya Afcon lakini mpaka muda huu hakuna hata mchezaji mmoja aliyesalia huko pamoja na wingi wao aliyejitahidi sana aliishia robo fainali na kilicho amua hayo yote ni quality zao tu.