ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,674
- 51,539
Licha ya vilio na adha kubwa ya ukosefu wa Maji ya matumizi Kwa binadamu na maendeleo, Serikali imepunguza Fedha ilizotenga kwenye Bajeti ya Wizara ya Maji Kwa zaidi ya 17% kutoka Bilioni 750 Hadi Bilioni 627.
Kwa sekta nyeti kama ya Maji harafu unapunguza Bajeti ni jambo la kushangaza.Ni vyema wabunge wasikubliane na huu utaratibu.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1788556342606639213?t=ntMZhkJD1fT28iocpZeRpA&s=19
My Take
Ilianza Wizara ya Nishati na Sasa ni Wizara ya Maji,zote Mbili ni Wizara Nyeti ila Zimepunguziwa Bajeti zake.
Utaratibu huu Haukubaliki,punguzeni Bajeti kwenye Wizara za Madini,Maliasili na Utawala sio kwenye Wizara Zenye maslahi na Wananchi.
View: https://www.instagram.com/p/C6zLQOhLO8t/?igsh=MXd6aGFuZ3RkejNtZA==
Pia soma Serikali imetumia busara gani kupunguza Bajeti ya Wizara ya Nishati wakati kuna Maombi Mengi ya Kuunganisha wateja wapya?
Kwa sekta nyeti kama ya Maji harafu unapunguza Bajeti ni jambo la kushangaza.Ni vyema wabunge wasikubliane na huu utaratibu.
View: https://twitter.com/MwananchiNews/status/1788556342606639213?t=ntMZhkJD1fT28iocpZeRpA&s=19
My Take
Ilianza Wizara ya Nishati na Sasa ni Wizara ya Maji,zote Mbili ni Wizara Nyeti ila Zimepunguziwa Bajeti zake.
Utaratibu huu Haukubaliki,punguzeni Bajeti kwenye Wizara za Madini,Maliasili na Utawala sio kwenye Wizara Zenye maslahi na Wananchi.
View: https://www.instagram.com/p/C6zLQOhLO8t/?igsh=MXd6aGFuZ3RkejNtZA==
Pia soma Serikali imetumia busara gani kupunguza Bajeti ya Wizara ya Nishati wakati kuna Maombi Mengi ya Kuunganisha wateja wapya?