Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,539
Kwa nchi za Kiafrika suala la kujenga minara kama utambulisho wa jiji na kivutio cha utalii au kurushia matangazo ya redio na televisheni halipewi kipaumbele .
Pia inaonekana kama matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
Dikteta Mobutu Sese Seko alwahi kuanzisha ujenzi wa mnara huko nchini Zaire(DRC) lakini hadi anaondolewa madarakani haukukamilika na kuishia kutelekezwa tu na kuwa makazi ya bundi
Kwa Wakristo kuna Mnara wa Babeli ila sijajua ni mnara wa kiimani tu au upo kweli duniani
Tuangalie minara 10 mirefu zaidi duniani
......................................................... .......
10/Zhongyuan Tower
Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa kwa vyuma.....ikumukwe hata ElfeltTtower huko jijini Paris Ufaransa umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi aitwaye Victor Lustig kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa wa chuma kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahawa takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga
Una urefu wa futi 1,273
Pia inaonekana kama matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi
Dikteta Mobutu Sese Seko alwahi kuanzisha ujenzi wa mnara huko nchini Zaire(DRC) lakini hadi anaondolewa madarakani haukukamilika na kuishia kutelekezwa tu na kuwa makazi ya bundi
Kwa Wakristo kuna Mnara wa Babeli ila sijajua ni mnara wa kiimani tu au upo kweli duniani
Tuangalie minara 10 mirefu zaidi duniani
......................................................... .......
10/Zhongyuan Tower
Unapatikana Zhengzhou katika jimbo la Henan nchini China
Unaaminika kuwa ndio mnara mrefu zaidi duniani uliotegenezwa kwa vyuma.....ikumukwe hata ElfeltTtower huko jijini Paris Ufaransa umetengenezwa kwa vyuma na ndo chanzo cha jamaa fkani hivi aitwaye Victor Lustig kuwatapeli wafanyabiashara wakubwa wa chuma kwa kuwadanganya kuwauzia ili wapate vyuma
Sasa tuendelee.....mnara huu ujenzi wake ulikamilika mwaka 2011 na ndo ukawa mnara mrefu zaidi wa chuma hadi pale mwingine ulipojengwa Tokyo Japan
Mnara huu una migahawa takribani 200 ya kuhudumia wageni/watalii
Hutumika pia kurushia matangazo ya luninga
Una urefu wa futi 1,273
Last edited: