duhView attachment 2984768
Humu unaweza kujitoa mwenyewe sadaka au kumtoa mwingine wa Karibu. Ila kikubwa ni kiapo Cha damu kisha unakabidhi nafsi.
Ni nani huyo?
Beka flavourNani huyu, bongo hii kila mtu celebrity
Hizo tatu jero mkuuKiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?
Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!
Hizo tatu jero mkuu
Kwa sisi tuliosoma Cuba anaepigwa miti ni weweKuna mmoja Yuko A town, anapigwa miti Kila Ijumaa na Jumanne jua linapozama. Yuko vizuri Hela anayo japo Hana uhuru nayo.
ata ukipita pale posta kweny lodge yao utaona...... niliona kuna magari yamepack ya kawaid Sana mule ndan na yamechoka mfn harrier old model na niliona jamaa anatokea mule ndan wa kawaid Sana sas nahis hatujui chochote kuhus freemasonsKiki tu hapo, wajenzi huru wanatumia biki za obama (Mia Mia 2) ku sign mikataba ya utajiri?
Wamekosa hata elfu 20 kununua presidential PEN!