A
Anonymous
Guest
TRA ya Tabata Segerea ni changamoto, huduma zao ni duni sana, pia hawana lugha nzuri katika kazi zao, ukiwaambia kuhusu hilo wanakuwa wakali kuliko pilipili.
Ujumbe huu uwafikie viongozi wao wa juu, baadhi ya tunalazimika kutafuta huduma sehemu nyingine ili tu tukwepe kinachoendelea kwenye ofisi hiyo.
Ujumbe huu uwafikie viongozi wao wa juu, baadhi ya tunalazimika kutafuta huduma sehemu nyingine ili tu tukwepe kinachoendelea kwenye ofisi hiyo.