Hospitali gani nzuri ya kutahiri watoto wa kiume hapa mjini Dar? Jina la Dokta Tafadhali!

Kuna mtu mmoja kkoo hapo ni faster tu na hakuna matata baada ya tohara. Simkumbuki jina ila kuna mtu aliwahi kunielekeza huko kupata huduma kwa vijana wangu. Hata BOCH pia wako vizuri kama uko maeneo ya mbezi.
 
Pia kuna watu wananishauri eti niwatahiri kienyeji kwamba ndio watakaa vizuri zaidi but it doesn't make sense with me.

Mimi nilitahiriwa Muhimbili mwaka 1989 nikiwa nna miaka minne.

Watoto wangu nimechelewa sana kuwatahiri.

Mmoja miaka 9 (std.4) na mwingine miaka 7( std.2). Nilichelewa kuwatahiri kwa sababu walikuwa wanaishi na mama yangu na mimi nilikuwa busy na mambo mengine ya maisha.

Now nataka kuwatahiri. Swali langu kwenu:

Hospitali gani nzuri hapa mjini Dar es Salaam katika kutahiri watoto? Dokta gani mzuri?


Mimi nataka kuwatahiri mwezi wa kumi na mbili wakati wa likizo ila kuna mtu anasema kwamba kwa hapa mjini Daslamu muda mzuri wa kutahiri mtoto ni mwezi wa sita kwa sababu kunakuwa na baridi na kwamba baridi inafanya mtoto apone haraka. Je kuna ukweli katika hilo? Binafsi siwezi kuwatahiri mwezi wa sita kwa sababu ya shule. Huyu wa la nne anakuwa bado yupo shule na nataka kuwatahiri wote kwa pamoja.

Nipeni uzoefu bandugu
Mkuu kumbe bwana mdogo sana umetahiri mwaka 1989 Mimi nimetahiri mwaka 1964 kawatahiri hospitali bora zaidi .
 
Pia kuna watu wananishauri eti niwatahiri kienyeji kwamba ndio watakaa vizuri zaidi but it doesn't make sense with me.

Mimi nilitahiriwa Muhimbili mwaka 1989 nikiwa nna miaka minne.

Watoto wangu nimechelewa sana kuwatahiri.

Mmoja miaka 9 (std.4) na mwingine miaka 7( std.2). Nilichelewa kuwatahiri kwa sababu walikuwa wanaishi na mama yangu na mimi nilikuwa busy na mambo mengine ya maisha.

Now nataka kuwatahiri. Swali langu kwenu:

Hospitali gani nzuri hapa mjini Dar es Salaam katika kutahiri watoto? Dokta gani mzuri?


Mimi nataka kuwatahiri mwezi wa kumi na mbili wakati wa likizo ila kuna mtu anasema kwamba kwa hapa mjini Daslamu muda mzuri wa kutahiri mtoto ni mwezi wa sita kwa sababu kunakuwa na baridi na kwamba baridi inafanya mtoto apone haraka. Je kuna ukweli katika hilo? Binafsi siwezi kuwatahiri mwezi wa sita kwa sababu ya shule. Huyu wa la nne anakuwa bado yupo shule na nataka kuwatahiri wote kwa pamoja.

Nipeni uzoefu bandugu
AL JUMAA CHARITABLE IPO FAYA. NA DR ANAITWA JUMA KAMA CJAKOSEA ANAFANYA KAZI MUHIMBILI NI SPECIALIST WA WATOTO
 
Back
Top Bottom