MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,764
- 48,691
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.
Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.
Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).
Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.
Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!
Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.
Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.
Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).
Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.
Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!
Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.
Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.