Kenya 2022 Hongera Rais wetu mpya, Dkt. William Ruto

Kenya 2022 General Election

MK254

JF-Expert Member
May 11, 2013
31,764
48,691
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.

Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.

Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).

Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.

Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!

Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.

Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
 
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.

Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.

Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).

Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.

Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!

Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.

Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
The gentleman baught us football in Kahoya when I was young, 1997, alikua anapita campaigning tulikua tunacheza ball, "lifundo" if u know it, then he promised kutuletea adidas, and he sure did by evening! I didn't vote him but he has earned my respect, yaani kumbe even Moi didn't want him to be an MP, saw in a documentary about him, meaning jamaa ni self made, a real hustler! Wueh! Nimetii walai!
 
Ngoja tuone Wabongo watakavyonza kujipendekeza kwa Ruto kuanzia utosini mwao mpaka miguuni kama kawaida yao kujipendekeza kwa winners, muda si mrefu watapiga magoti ikulu kumuomba msamaha Ruto full kujidhalilisha, uzuri ni kwamba Ruto hana mpango na Tanzania na sijui hata kama keshawahi kufika, huyo yuko na Uganda.

Anyway laana aliyopigwa Uhuru Kenyata na Mungu itafika Bongo soon, hata huku ana watu wake pia siyo Raila tu, Mungu yuko fair siku zote.

Uhuru nenda zako, pure evil!
 
Ngoja tuone Wabongo watakavyonza kujipendekeza kwa Ruto kuanzia utosini mwao mpaka miguuni kama kawaida yao kujipendekeza kwa winners, muda si mrefu watapiga magoti ikulu kumuomba msamaha Ruto full kujidhalilisha, uzuri ni kwamba Ruto hana mpango na Tanzania na sijui hata kama keshawahi kufika, huyo yuko na Uganda.

Anyway laana aliyopigwa Uhuru Kenyata na Mungu itafika Bongo soon, hata huku ana watu wake pia siyo Raila tu, Mungu yuko fair siku zote.

Uhuru nenda zako, pure evil!
Watanzania siasa za kenya zinapaswa Sana kutufundisha

Ila Leo mahakama haiko huru
Bunge haliko huru

Kila kitu Kipo under control ya CCM

Rais Mungu MTU Kwa mfumo WA nchi yetu.
Tanzania iliyoikomboa Africa mashariki na kusini Mwa Africa Leo hii tumekuwa vipofu WA kwenda kujifunza toka Kwa tuliowapambania democracia so shame
 
Watanzania siasa za kenya zinapaswa Sana kutufundisha

Ila Leo mahakama haiko huru
Bunge haliko huru

Kila kitu Kipo under control ya CCM

Rais Mungu MTU Kwa mfumo WA nchi yetu.
Tanzania iliyoikomboa Africa mashariki na kusini Mwa Africa Leo hii tumekuwa vipofu WA kwenda kujifunza toka Kwa tuliowapambania democracia so shame

Jiandaeni pia kumpigia magoti Ruto ndani ya Ikulu ya Tanzania kumuomba msamaha, hii nchi yetu sijui tu, kwa kweli, ila saa inatiki na kunakaribia kukucha!
 
Ngoja tuone Wabongo watakavyonza kujipendekeza kwa Ruto kuanzia utosini mwao mpaka miguuni kama kawaida yao kujipendekeza kwa winners, muda si mrefu watapiga magoti ikulu kumuomba msamaha Ruto full kujidhalilisha, uzuri ni kwamba Ruto hana mpango na Tanzania na sijui hata kama keshawahi kufika, huyo yuko na Uganda.

Anyway laana aliyopigwa Uhuru Kenyata na Mungu itafika Bongo soon, hata huku ana watu wake pia siyo Raila tu, Mungu yuko fair siku zote.

Uhuru nenda zako, pure evil!
Sisi watanzania tulishatoka huko mnakopita wakenya

Tangu tupate uhuru JPM peke yake ndani ya miaka mitano alitaka kutirudisha enzi za ukoloni za ukabila

Kenya, Moi aliwatesa kwa zaidi ya miaka 25,Watu waliteswa na Kutekwa, Kenya ilikuwa kama Baghdad au Afghanistan


Lakini sisi watanzania tunaipenda sana nchi yetu, Tutapiga kelele na kuongea lakini Ikifika suala la watu kutaka kufanya fujo watu hawakubali hata siku moja

Kariba ya Ruto ni kama JPM tu kwa ubabe, Naona kama wenzetu Jamaa atakuwa katili sana na watu kupotea

Alilosema tu hataki mambo ya ushirikiano na Upinzani nilijua tu kuna kitu kipya kinakuja kenya

Uongozi wa nchi hasa kwenye ukabila kama Kenya inahitaji busara na hekima kubwa sana, Jamaa Inaonekana ana visasi sana na sasa kapewa Lungu

JPM naye alisema hivi hivi kuwa mimi si wa kujaribiwa na nashangaa Rais wa Zanzibar kumsalimia maalim Seif, Yalifuatwa hakuna ushahidi lakini watu walipotea na kutekwa

Kenya bila Jamaa kudhibitiwa hao Citizen TV watalimia meno na hata biashara za uhuru atalimia meno labda hizo za nje ya kenya

JPM alidili na wabaya wake wote kimya kimya kwa kutumia State machineries

Ruto sio presidential material, Ruto alifaa kuwa mtendaji kama Waziri Mkuu, Rais ni kazi ya kuamua inahitaji mtu passionate sana na mtulivu wa akili
 
Sisi watanzania tulishatoka huko mnakopita wakenya

Tangu tupate uhuru JPM peke yake ndani ya miaka mitano alitaka kutirudisha enzi za ukoloni za ukabila

Kenya, Moi aliwatesa kwa zaidi ya miaka 25,Watu waliteswa na Kutekwa, Kenya ilikuwa kama Baghdad au Afghanistan


Lakini sisi watanzania tunaipenda sana nchi yetu, Tutapiga kelele na kuongea lakini Ikifika suala la watu kutaka kufanya fujo watu hawakubali hata siku moja

Kariba ya Ruto ni kama JPM tu kwa ubabe, Naona kama wenzetu Jamaa atakuwa katili sana na watu kupotea

Alilosema tu hataki mambo ya ushirikiano na Upinzani nilijua tu kuna kitu kipya kinakuja kenya

Uongozi wa nchi hasa kwenye ukabila kama Kenya inahitaji busara na hekima kubwa sana, Jamaa Inaonekana ana visasi sana na sasa kapewa Lungu

JPM naye alisema hivi hivi kuwa mimi si wa kujaribiwa na nashangaa Rais wa Zanzibar kumsalimia maalim Seif, Yalifuatwa hakuna ushahidi lakini watu walipotea na kutekwa

Kenya bila Jamaa kudhibitiwa hao Citizen TV watalimia meno na hata biashara za uhuru atalimia meno labda hizo za nje ya kenya

JPM alidili na wabaya wake wote kimya kimya kwa kutumia State machineries

Nafikiri kuna kitu hauelewi, ushirikiano wa nini wakati mtu kashinda? The winner takes it all, kama unataka ushirikiano ongeza kura na siyo ushindwe halafu ulilie ushirikiano? Hamnaga hiyo, the winner takes it all, anayeshinda ndiyo anayeunda Serikali, period!
 
Kenya leo mmetufundisha haya;
Ninyi ni taifa lenye uhuru, uwazi na haki katika kupata viongozi wenu chini ya mfumo wa kidemokrasia. Mifumo yenu ya kuratibu siasa za kidemokrasia ni bora na imara.

Ndio maana wakenya wanaendelea, walishatoka era za ujinga miaka mingi wale kwenye mambo mengi wako civilised kwa level ya hali ya juu kabisa
 
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.

Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.

Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).

Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.

Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!

Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.

Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
Nakubaliana na wewe mkuu, Jamaa Inaonekana ana machungu sana sana na atalipa kisasi

Suala la kusema kuna watu walimtisha na hataki handshake kuna kitu Kenya mtakipata

Huyu anaweza warudisha enzi za Moi na watu Kutekwa na kupotezwa, Mlipitia haya kwa miaka zaidi ya 25

Sisi tangu huru tumepitia mambo magumu wakati wa JPM tu,

Watanzania hata siku moja hatujawahi kuchukia viongozi wetu uwe umeiba kura au hukuiba kura lakini Jamaa alikuwa na hasira kama za huyo Ruto

Ruto kwa alivyo ata dili na watu wengi sana

Time will tell
 
Muacheni mkalenjini aweke empire yake, uhuru ni beneficiary wakwanza kwa ruto kuwa president, mbaya sana so called baba "odinga" ameuzwa kirahisi hivo, naweza sema uhuru amecheza karata zake vizuri mno
 
Nafikiri kuna kitu hauelewi, ushirikiano wa nini wakati mtu kashinda? The winner takes it all, kama unataka ushirikiano ongeza kura na siyo ushindwe halafu ulilie ushirikiano? Hamnaga hiyo, the winner takes it all, anayeshinda ndiyo anayeunda Serikali, period!
Tatizo maamuzi ya Leo bado yanaonekana ni ya kikabila mahakamani

Still baada ya miezi kadhaa mtakuja tena kutafuta ushauri kwa Jakaya Kikwete huyo huyo Ruto unayemuona Leo wewe shujaa

Hana uwezo wa kuongoza Taifa lililogawanyika nusu kwa nusu kura, Atamuhitaji Odinga tu

Yawezekana wewe ni mkenya lakini huijui Kenya kama mimi kisiasa


Mimi sishangai Kenya tulikuwepo huko kama waangalizi wa East Afrika na Rais mstaafu Kikwete

Jakaya aliongea na Ruto na Raila pia na aliwasihi sana kuhusu Kutanguliza nchi mbele kuliko ukabila, Na wote Ruto na Odinga walimuahidi kikwete watafuata sheria za nchi kwani Raia wa kenya kwanza

Na hata maamuzi ya Mahakama Jaji wetu mstaafu na mtaalamu wa ushauri Chande Othman alikuwepo kwa ushauri huko Kenya

Huwezi niambie lolote kuhusu Siasa za Kenya

Mlipopata matatizo miaka ile ya 2007, Mkapa na Kikwete walikuwa huko kushawishi mtulie

Tunawafahamu nje ndani

Kenyatta hakuwa mjinga kama unavyofikiri wewe, Mtamkumbuka huyo Uhuru baada ya mwaka mmoja tu
 
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.

Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.

Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).

Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.

Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!

Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.

Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
Raila alikuwa mshkaji wake sana mwendazake. Kushindwa kwake kumenifariji sana
 
Ndio maana wakenya wanaendelea, walishatoka era za ujinga miaka mingi wale kwenye mambo mengi wako civilised kwa level ya hali ya juu kabisa
Naunga mkono hoja...

Na Rutto atakuwa na kibarua kigumu sana maana Bungeni hana watu wengi wa kugonga meza na kuitikia ndiooo kama yale majamaa yetu ya fisiem...
 
Tatizo maamuzi ya Leo bado yanaonekana ni ya kikabila mahakamani

Still baada ya miezi kadhaa mtakuja tena kutafuta ushauri kwa Jakaya Kikwete huyo huyo Ruto unayemuona Leo wewe shujaa

Hana uwezo wa kuongoza Taifa lililogawanyika nusu kwa nusu kura, Atamuhitaji Odinga tu

Yawezekana wewe ni mkenya lakini huijui Kenya kama mimi kisiasa


Mimi sishangai Kenya tulikuwepo huko kama waangalizi wa East Afrika na Rais mstaafu Kikwete

Jakaya aliongea na Ruto na Raila pia na aliwasihi sana kuhusu Kutanguliza nchi mbele kuliko ukabila, Na wote Ruto na Odinga walimuahidi kikwete watafuata sheria za nchi kwani Raia wa kenya kwanza

Na hata maamuzi ya Mahakama Jaji wetu mstaafu na mtaalamu wa ushauri Chande Othman alikuwepo kwa ushauri huko Kenya

Huwezi niambie lolote kuhusu Siasa za Kenya

Mlipopata matatizo miaka ile ya 2007, Mkapa na Kikwete walikuwa huko kushawishi mtulie

Tunawafahamu nje ndani

Kama Raila mwenyewe alisema ataheshimu maamuzi ya Mahakama wewe ni nani hadi u question Mahakama yao ? Unaishi Dunia nyingine, eti wamuombe Kikwete ungejua hata kumjua siajabu hawamjui wala usingemtaja, hakuna watu Wakenya wanawadharau kama Watanzania hilo labda hamjalijua tu bado vinginevyo msingejipendekeza hivyo kwa kwa watu ambao wanawadharau.

Jinsi ambavyo unavyofikiria sivyo wanavyokuona, unajidanganya sana.

Pigeni magoti tena Ikulu kumuomba na Ruto msamaha!
 
Majaji wa Mahakama ya upeo wameona wafunike kombe mwanaharamu apite. Kulitilia maana lile lituhuma la Venezuela ingekuwa aibu kubwa kwa Taifa. Yaani nchi iwe na rais made in Venezuela.
 
Japo sikukupigia kura, na binafsi haujanishawishi ila Wakenya walio wengi walifaulu kukuchagua, inabidi tukubali maamuzi ya wengi ila tulio wachache tusiklizwe pia.

Nakumbuka kitambo nikiwa kijana, nilikua mmojawapo wa vijana tuliokusanyika pale Eldoret kukushangilia siku ya kwanza ulipotangaza kuwaania ubunge kwenye jimbo letu la Uasin Gishu, na umepambana mpaka leo umeukwaa urais, sina budi ila kukupa hongera.

Tawala taifa letu kwa misingi ya haki, heshimu katiba, endeleza miradi yote aliyotanguliza mwenzako, pambana dhidi ya ufisadi (japo hili la ufisadi nina mashaka nalo maana ndio sababu kuu sikukupigia kura, majina yako yametajwa sana kwenye tuhuma za ufisadi).

Wengi tutakuunga mikono, tutasimama na wewe kizalendo na kuendelea kuboresha nchi yetu, huu waraka najua hautausoma ila inawezekana wapambe wako wakapitia humu.

Big up sana William, tusonge mbele kwa mbele!!!!

Na pia shukrani za dhati ziwafikie IEBC kwa namna waliendesha huu uchgauzi, mumeweka rekodi mpya Afrika, tupo kwenye level nyingine, kwamba leo hii hata muungano na EAC kuwa nchi moja itashindikana maana labda tujishushe.

Hatimaye hongera kwa walioshinda viti vingine vyote na hata walioshindwa, sote tuboreshe taifa letu.
Mtamkumbuka sana Uhuru pamoja na mapungufu yake.
Sisi tuliwahi kupata mtawala ambaye kila dakika alimtamka Mungu lkn cha moto tulikiona na madhara yake bado yanalitesa taifa.
Ninawapa pole na subirini cha Moto kuanzia 2023 mtaanza kujuta
 
Back
Top Bottom