RWANDES
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,621
- 3,937
Mpira wa Tanzania umejaa siasa hakuna uwekezaji kwenye football, viongozi wamekalia kununua magori tu. Wameshaona ndiyo uwekazaji wa footbal kupitia njia hiyo. Nawapongeza misri kwa kazi nzuri mnayoifanya.
Pesa za watanzania ambazo zingeenda kumsaidia mama mjanzito wakati wa kijifungua zinatumika kununua magori huku hospitali huduma zake mbovu.
Pesa za watanzania ambazo zingeenda kumsaidia mama mjanzito wakati wa kijifungua zinatumika kununua magori huku hospitali huduma zake mbovu.