Jethro
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 2,219
- 370
Wana JF,
Kwa kuwajulisha tuu kiufupi haya yote yanayo tokea sasa ni matokeo ya Uongozi wetu tokea huko nyuma hadi hapa tulipo fika kama uongozi ungekuwa bora , siasa zinge kuwa safi haya mambo yange kuwa ni tofauti.
Nakuja kwa hoja yangu, Mnamo miaka ya mwisho wa 1980's kuja kwa mwanzoni mwa 1990's kulikuwa na kundi kubwa la vigogo toka kanda ya ziwa na walikuwa kwa system mean ndani ya serikali na ni walikuwa wana CCM wazito haswa walikuwa na mpango wao kabambe ambao ulikuwa umekamilika wa kujitenga kwa kanda ya ziwa Bukoba, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Mara. na kwa bahati mbaya hiyo issue ikawa leaked. waka potezea. Kwa hali ile nchi ilitaka kujitenga ni kwa ajili ya haya haya mambo ya serikali kutojali na kuwa makini na kuwajibika kwa wananchi wao.(Kanda ya ziwa ilikuwa inajua inajitosheleza kwa kila kitu kiuchumi na idadi ya watu wengi wange support mapinduzi yale) leo hii nasari kusema kujimegea aridhi yao ati viongozi wama kuja juuu ivi migogoro ya Aridhi huko Meru Mashariki serikali ni mpaka ijiridhishe vipi? kusikia kilio cha watu wa arumeru.
Tuongee ukweli tuuu hivi wananchi wa Arumeru Mashariki kwanini wakavamia mashamba wao ni wenda wazimuu?? Kwanini Mkapa alisema tutawarudishia aridhi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki inamaana serikali kwanini haikumwoji Mkapa kwanini ulisema kuwarudishia Aridhi watu wa Arumeru Mashari? na Aridhi ilikwenda wapi muda wote huo?
My Take;
Matukio haya ni juu ya serikali kutojari wananchi wake esp katika maeneo hayo kama kanda ya ziwa,Kaskazini wana resource za kutosha lakini maisha yao ni duni duni mpaya na hii yote ni serikali yetu kutojipanga na kuwa legelege. Tukisema mengi tunakuwa maadui wabaya kabisa ila wale vigogo wanao uza nchi yetu wao ni wema kuliko sisi rai wa kawaida.
Kwa kuwajulisha tuu kiufupi haya yote yanayo tokea sasa ni matokeo ya Uongozi wetu tokea huko nyuma hadi hapa tulipo fika kama uongozi ungekuwa bora , siasa zinge kuwa safi haya mambo yange kuwa ni tofauti.
Nakuja kwa hoja yangu, Mnamo miaka ya mwisho wa 1980's kuja kwa mwanzoni mwa 1990's kulikuwa na kundi kubwa la vigogo toka kanda ya ziwa na walikuwa kwa system mean ndani ya serikali na ni walikuwa wana CCM wazito haswa walikuwa na mpango wao kabambe ambao ulikuwa umekamilika wa kujitenga kwa kanda ya ziwa Bukoba, Tabora, Shinyanga, Mwanza, Mara. na kwa bahati mbaya hiyo issue ikawa leaked. waka potezea. Kwa hali ile nchi ilitaka kujitenga ni kwa ajili ya haya haya mambo ya serikali kutojali na kuwa makini na kuwajibika kwa wananchi wao.(Kanda ya ziwa ilikuwa inajua inajitosheleza kwa kila kitu kiuchumi na idadi ya watu wengi wange support mapinduzi yale) leo hii nasari kusema kujimegea aridhi yao ati viongozi wama kuja juuu ivi migogoro ya Aridhi huko Meru Mashariki serikali ni mpaka ijiridhishe vipi? kusikia kilio cha watu wa arumeru.
Tuongee ukweli tuuu hivi wananchi wa Arumeru Mashariki kwanini wakavamia mashamba wao ni wenda wazimuu?? Kwanini Mkapa alisema tutawarudishia aridhi kwa wananchi wa Arumeru Mashariki inamaana serikali kwanini haikumwoji Mkapa kwanini ulisema kuwarudishia Aridhi watu wa Arumeru Mashari? na Aridhi ilikwenda wapi muda wote huo?
My Take;
Matukio haya ni juu ya serikali kutojari wananchi wake esp katika maeneo hayo kama kanda ya ziwa,Kaskazini wana resource za kutosha lakini maisha yao ni duni duni mpaya na hii yote ni serikali yetu kutojipanga na kuwa legelege. Tukisema mengi tunakuwa maadui wabaya kabisa ila wale vigogo wanao uza nchi yetu wao ni wema kuliko sisi rai wa kawaida.