Asalamaleko
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 2,104
- 6,292
Umerudi tulikumis bwabwa MpwayunguLicious 🏳️🌈
Alipigwa bann akaja na hii ID akagundulika, akala bann Nyingine na mods wakaunganisha hii ID na ileya zamani😅Sijaelewa hapa nini kimejiri au kinajiri Kwa huyu jamaa na mods !!!!
una undugu na mpwayuwayu village? Naona surnames zimefanana
😅😅😅😅😅 hii kaliNa mods washafanya kazi yao...
Na ban juu🤣🤣Na mods washafanya kazi yao...
Nimeshughulikiwa na nini labda na lini? Halafu Siku zingine Wapuuzi wa mfano wako mkiwa mnanitaja GENTAMYCINE muwe mnaanza na Heshima yangu kwa kusema Mshindi wa Zawadi wa JamiiForums Jukwaa la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 ambapo Shindano ndiyo lilianza rasmi sawa?Hongereni mods kwa kuwashughulikia mabogus wote wanaoharibu JF akiwemo yule kiongozi wao GENTAMYCINE
Aliyemtuma acheze VICOBA Majina Saba ( 7 ) wakati hana hata Kazi ya uhakika zaidi ya Kubeti tu kwa Mhindi 24/7 nani?Kama kuna mtu wa saikolojia anamfahamu personally huyu mpwayungu amsaidie. Nahisi kuna kipindi kibaya anapitia
GOAT💯💯Nimeshughulikiwa na nini labda na lini? Halafu Siku zingine Wapuuzi wa mfano wako mkiwa mnanitaja GENTAMYCINE muwe mnaanza na Heshima yangu kwa kusema Mshindi wa Zawadi wa JamiiForums Jukwaa la Michezo ( Sports ) kwa mwaka 2022 ambapo Shindano ndiyo lilianza rasmi sawa?
Huna Akili.
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!!
Cc: Leejay49
una undugu na mpwayuwayu village? Naona surnames zimefanana
Kama uliota vile!una undugu na mpwayuwayu village? Naona surnames zimefanana
Una high sensing capacityMtu mmoja huyu