Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 10,414
- 16,268
Sijawahi kutumia TikTok hapo kabla, ni jana tu nimejiunga huko mjini TikTok. Hii ni baada ya mshikaji wangu mmoja mara kibao amekuwa akiniambia kuwa kule kuna vichekesho ambavyo kama huna mbavu huwezi kuhimili. Basi jana nikaamua kujiunga kwa lengo la kwenda kuangalia hivyo vichekesho.
Kwa kweli nimekutana na vichekesho na kama alivyo sema kama huna mbavu huwezi vumilia. Mimi huwa ni mpenzi wa vichekesho maana wakati mwingine unaondoa msongo wa mawazo. Katika kuendelea ku scroll nilikutana na account nyingi zikiwa na content (maudhui) mbalimbali, vijana wanajitahidi.
Maudhui yaliyo nifanya nije kuuliza hapa ni yale ya challenge za wapenzi, nimekutana na account nyingi zinazo endesha hizo challenge. Mfano jamaa anakuja anakufanyia challenge kwa mpenzi wako bila yeye kujua mwisho wa siku mambo yanakuwa hasi tofauti na ulivyo tarajia. Nimebaki nashangaa sana hiyo kitu, hivi ni kweli hayo mambo yapo?
Zile challenge nilikuwa nacheka sana, yaani watu wanaingizwa box na wanajaa. Challenge kama hizo binafsi hapana.
Kwa kweli nimekutana na vichekesho na kama alivyo sema kama huna mbavu huwezi vumilia. Mimi huwa ni mpenzi wa vichekesho maana wakati mwingine unaondoa msongo wa mawazo. Katika kuendelea ku scroll nilikutana na account nyingi zikiwa na content (maudhui) mbalimbali, vijana wanajitahidi.
Maudhui yaliyo nifanya nije kuuliza hapa ni yale ya challenge za wapenzi, nimekutana na account nyingi zinazo endesha hizo challenge. Mfano jamaa anakuja anakufanyia challenge kwa mpenzi wako bila yeye kujua mwisho wa siku mambo yanakuwa hasi tofauti na ulivyo tarajia. Nimebaki nashangaa sana hiyo kitu, hivi ni kweli hayo mambo yapo?
Zile challenge nilikuwa nacheka sana, yaani watu wanaingizwa box na wanajaa. Challenge kama hizo binafsi hapana.