Hivi TBS inafanya kazi gani kama Wafanyabiashara wanaingiza 'Bidhaa Fake' na kutangaza waziwazi, iPhone 15 Tsh. 380,000?

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,452
8,287
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh. 380,000. Hivi kwa style hiyo si kuna watu wanalipa hadi mamilioni bila kujua wananunua Simu Feki?​


 
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh. 380,000. Hivi kwa style hiyo si kuna watu wanalipa hadi mamilioni bila kujua wananunua Simu Feki?​
Tanzania ukitaka kununua kitu chochote basi nunua sehemu sahihi. Kama ni simu, nenda maduka yanayofahamika. Achana na hizi chochoro za Kariakoo.
 
Back
Top Bottom