BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,452
- 8,287
Hii nchi ina mambo ya ajabu sana mpaka mtu unashindwa kuelewa hizi taasisi zinafanyje kazi. Mfano mzuri Shirika la Viwango pamoja na Tume ya Kuwalinda Walaji ziko wapi wakati watu wanaingiza Bidhaa Feki kila mahali na wanauza kwa uhuru kabisa. Imagine mtu anatangaza kabisa iPhone 15 Pro ni Tsh. 380,000. Hivi kwa style hiyo si kuna watu wanalipa hadi mamilioni bila kujua wananunua Simu Feki?