Kumbe.????Hakunaga hio.
Unadhani hv vituo vya watoto yatima vinavyomilikiwa na mashirika ya dini au makanisa, ukienda nyuma ya panzia unaweza usiamini.
CHUNGUZA
Hatujamaliza salam wewe upo busy na sw, axant, p, hy..yani naendeleaje na mengine?Tumemaliza salamu Sema shida sasa unaniambiaje nambie
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uwiiiii.... option ni NIAMBIE tuHatujamaliza salam wewe upo busy na sw, axant, p, hy..yani naendeleaje na mengine?
Halafu ujue sina shida, natafuta muendelezo wa stories, upo bize na xaxa zako..hata mimi nitakuambia NAMBIE tu manake unaboa
Hicho kiunganishia unawez kuchomokea humo kwamba umemis hata mtoko au kitu fulani jaribu kurahisisha maishaSasa si uongee mambo mengine Kwa lazima useme NIAMBIE?
Ipo hivyo Joannah, hata sisi tunaangalia aina ya wadada tunaochat nao, aina ya stories wanazopenda, ila kumbuka mwanzoni ni ngumu sana coz bado sikufaham vizuri, natafuta code kujua unapenda kuongelea issues gani....hata mada za rocket sciences Me wanaziweza, hasa wakiwa na jambo lao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Uwiiiii.... option ni NIAMBIE tu
Akashindwa kujiongeza ukiambiwa niambie wewe funguka kwa kingereza ni 'Tell me....'Hicho kiunganishia unawez kuchomokea humo kwamba umemis hata mtoko au kitu fulani jaribu kurahisisha maisha
Ndugu,.....nitatoa yasiyoruhusiwa.Kumbe.????
Sasa unazaa alafu unampeleka uko? Yule wa kulea mwenyewe vipi?? Mfano wewe una mahusiano naye na ukazaa naye, si unaweza kulea mwenyewe?? Hebu nambie vzr
We muongeleshe za kujilipua tu achana na kutaka kujua anaoendelea nini,,,muongeleshe vitu vitamleta kwenye lengo la mawasiliano,..Ipo hivyo Joannah, hata sisi tunaangalia aina ya wadada tunaochat nao, aina ya stories wanazopenda, ila kumbuka mwanzoni ni ngumu sana coz bado sikufaham vizuri, natafuta code kujua unapenda kuongelea issues gani....hata mada za rocket sciences Me wanaziweza, hasa wakiwa na jambo lao🤣🤣🤣
Usinisahau Cuzo....Msiniache nyuma Manka wa watu miekwetu mgombani hatuna unyago
Mwendo ni ule ule, habadiliki mtu hapa
Huna adabu unaniombea hela barazani badala ya kuniita chumbani🤣🤣🤣Hamna,mi nywele zimefumuka nataka nikasuke naomba hela
Oooooooh!!!Madame kama MadameKabisa, unakuwa na mahusiano na mnazaa kabisa.
Haina mbaya
Havinogi namna hiyo, kuwa engaged kwenye salam utaona hata stories nyingine zitakuja na flow ya kutosha.We muongeleshe za kujilipua tu achana na kutaka kujua anaoendelea nini,,,muongeleshe vitu vitamleta kwenye lengo la mawasiliano,..
😂😂😂😂😂Oooooooh!!!Madame kama Madame
Hivi Madame una Undugu na Zai Kijiwenongwa
Ngoja nifike afu tutahama woteWahi kabla sijahama kijiwe, mi sipendagi kunywa sehemu moja nakuwa silewi 😂😂😂
Hapana....
Hapana
Naongea sana eeeee
Nikipona gonorrhea nitakuja DM.Kwema?
Hivi nyie baadhi ya wanaume unavyoandikia mwanamke meseji Huwa mnawaza Nini?
Mtu anakuandikia mambo?unamjibu poa tu,
Anauliza Tena,Kwema?unamjibu kwema?
Anauliza tena,uko poa lakini?
Unajibu poa?
Sasa anamalizia Tena""NIAMBIE ""
Jamani hebu muwe serious basi,Umeanza mwenyewe mazungumzo halafu unaniambia nikwambie, nikwambie Nini sasa?eti Huwa mnataka tuwaambie Nini?Binafsi sana sana ukiniambia nikwambie nitakuomba Hela....halafu utaanza kulalamika na kulilia maana watu wenyewe wa siku hizi tunawajua ni lialia,wakati we mwenyewe umesema nikwambie.,au ni kutafutana lawama tu?
Kwa kweli Mtu akishaniambia hiyo"NIAMBIE"Huwa anikera sana...
Hebu tupumzisheni basi viumbe vya mola jamani..