Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,955
- 156,156
Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana?
Wajuzi karibuni.
Asante sana.
Wajuzi karibuni.
Asante sana.
Ndio ipi?Intensity.
Jua linapochomoza au linapokaribia kuzama, nuru yake inapitia katika tabaka kubwa zaidi la angahewa kuliko wakati wa mchana.Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana?
Wajuzi karibuni.
Asante sana.
Bujibuji mimi si msomi ila nina akili ambazo walioenda shule wengi hawana.Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana?
Wajuzi karibuni.
Asante sana.
Aiseekwanini jua linawaka mchana wakata kuna mwanga
Jioni jua ☀️ huwa wapi vile? Mulika mwizi meeeenLakini jioni, Jua huwa kama lipo chini (Masraiki),
FafanuaMfano ni toch inavyokumilka, chukua mpo watu wawili umbali wa mita 100 then toch imlenge mmoja, obviously mtu wa pili ambaye hajalengwa (pembeni) ataona mwanga hafifu (joto) tofauti na aliyemulikwa centre.
1.So huko kwenye ncha mchongoko hakuna bara ?Bujibuji mimi si msomi ila nina akili ambazo walioenda shule wengi hawana.
Kuna nadharia zangu mwenyewe naziamini kuliko za wana sayansi.
Naamini kwamba dunia siyo round kama mpira wa miguu ⚽ bali una umbo la mpira wa rugby.🏉
So jua linapochomoza hujikuta dunia kwenye ncha mchongoko. Hivyo halisi kali kwasababu mionzi yake inasafiri umbali mrefu zaidi hadi kufikia dunia.
Mchana dunia inakuwa imejizungusha hadi kwenye peak yake, ambapo ☀️ jua hufikia kwenye uso wa dunia ndani ya muda mfupi sana.
Jioni inakuwa kama ilivyokuwa asubuhi
Typing error, ila kilicho elezwa ndiyo sababu kamili...Jioni jua ☀️ huwa wapi vile? Mulika mwizi meeeen
Huwa linazama na kuchomozea kwenye tope.Litaacha kuwa la baridi?Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana?
Wajuzi karibuni.
Asante sana.
Jua kali maana yake ni joto la uso wa dunia kuwa kali. Kwa sababu jua halibadiliki joto lake, bali ni uso wa dunia.Hivi ni kwanini jua linapochomoza na linapokaribia kuzama sio Kali sana kama linavyokuwa muda wa mchana?
Wajuzi karibuni.
Asante sana.