Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,104
Nauliza tena hili swali.sijaelewa kwa nini mods wamehamisha swali langu kwenye thread isiyohusiana kabisa.
Kama msimamizi wa vyama vya siasa tulitarajia kuona msajili akiwa active wakati kama huu.
Changamoto nyingi zinajitokeza lakini hatumwoni wala kumsikia!
Kama msimamizi wa vyama vya siasa tulitarajia kuona msajili akiwa active wakati kama huu.
Changamoto nyingi zinajitokeza lakini hatumwoni wala kumsikia!