Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,506
- 8,563
Kwanini asiungane na hao wanaoandamana? Au ni chawa wa Kizimkazi??Itisha na wewe maandamano
Ova
Kwanini asiungane na hao wanaoandamana? Au ni chawa wa Kizimkazi??Itisha na wewe maandamano
Ova
Majibu wanayo serikali! Wananchi ndo waungane kutaka majibu na si porojo!Kwa hiyo chadema wana majibu ya matatizo yote hayo?
Mwl. JK Nyerere aliona mbali!Watanzania wengi ni wajinga. Swali la mleta mada ni ushahidi tosha.
Chagadema ni wasanii tuWanajamvi kichwa cha habari chajieleza
CHADEMA walianza maandamano ya amani kuishinikiza serikali kupunguza makali ya maisha kwa wananchi tarehe 24.01.2024
Hali ya sasa inayoendelea nchini ni kama maandamano hayo yamezidi kuchochea hali mbaya na yanaonyesha hayana tija yoyote zaidi ya kuleta usumbufu kwa wananchi
Nchi inapita wakati mgumu wa kukosa
1. Sukari
2. Umeme
3. Maji
4. Dola
5. Mfumuko wa bei
Je, maandamano hayo ni usanii na dhihaka kwa wananchi?
ila wale waliotawala taifa hli kwa zaid ya miaka 60 ya uhuru hata maji tu yamewashnda hao siyo wasanii au siyo, waliofirisi viwanda alivyoacha mwl nyerere pamoja na mashrika ya umma si wasanii, walosababsha matatzo yasasa yanayolalamikiwa si wasanii au siyo, wanaogawa raslimali za taifa hli kwa wazungu huku wakpatamo aslimia zao wafaidi na family zao si wasanii, aliyesema wapnzan ndo wachelewesha maendeleo akatujazia mabunge, madiwani ya chama chake kwa kuiba kura na kuvuruga uchaguz si msanii au siyo..Chagadema ni wasanii tu
Hayo maswali waulizwe CCM wenye serikali... Chadema haina mbunge wala serikali, wao wnachofanya ni awareness tu ila kwa sababu serikali ishajua wananchi wake wapo wapo tu, basi hawana shida this time.Wanajamvi kichwa cha habari chajieleza
CHADEMA walianza maandamano ya amani kuishinikiza serikali kupunguza makali ya maisha kwa wananchi tarehe 24.01.2024
Hali ya sasa inayoendelea nchini ni kama maandamano hayo yamezidi kuchochea hali mbaya na yanaonyesha hayana tija yoyote zaidi ya kuleta usumbufu kwa wananchi
Nchi inapita wakati mgumu wa kukosa
1. Sukari
2. Umeme
3. Maji
4. Dola
5. Mfumuko wa bei
Je, maandamano hayo ni usanii na dhihaka kwa wananchi?
Watu kama nyinyi ndo mnatukwamishaWanajamvi kichwa cha habari chajieleza
CHADEMA walianza maandamano ya amani kuishinikiza serikali kupunguza makali ya maisha kwa wananchi tarehe 24.01.2024
Hali ya sasa inayoendelea nchini ni kama maandamano hayo yamezidi kuchochea hali mbaya na yanaonyesha hayana tija yoyote zaidi ya kuleta usumbufu kwa wananchi
Nchi inapita wakati mgumu wa kukosa
1. Sukari
2. Umeme
3. Maji
4. Dola
5. Mfumuko wa bei
Je, maandamano hayo ni usanii na dhihaka kwa wananchi?
Wewe ni low thinker, kwani CHADEMA ndo wanasabisha ugumu huo???Wanajamvi kichwa cha habari chajieleza
CHADEMA walianza maandamano ya amani kuishinikiza serikali kupunguza makali ya maisha kwa wananchi tarehe 24.01.2024
Hali ya sasa inayoendelea nchini ni kama maandamano hayo yamezidi kuchochea hali mbaya na yanaonyesha hayana tija yoyote zaidi ya kuleta usumbufu kwa wananchi
Nchi inapita wakati mgumu wa kukosa
1. Sukari
2. Umeme
3. Maji
4. Dola
5. Mfumuko wa bei
Je, maandamano hayo ni usanii na dhihaka kwa wananchi?
Wanajamvi kichwa cha habari chajieleza
CHADEMA walianza maandamano ya amani kuishinikiza serikali kupunguza makali ya maisha kwa wananchi tarehe 24.01.2024
Hali ya sasa inayoendelea nchini ni kama maandamano hayo yamezidi kuchochea hali mbaya na yanaonyesha hayana tija yoyote zaidi ya kuleta usumbufu kwa wananchi
Nchi inapita wakati mgumu wa kukosa
1. Sukari
2. Umeme
3. Maji
4. Dola
5. Mfumuko wa bei
Je, maandamano hayo ni usanii na dhihaka kwa wananchi?
Maandamano/matembezi ya hisani ya CHADEMA yana tija. Yatawasaidia kupunguza vitambi walivyovipata kwa kufakamia ruzuku ya 2.7b kimyakimya.
Shida yangu kwa nini serikali hairekebishi?Hali inazidi kuwa mbaya au hawajatishika
Point
NB:Halafu kweli ni matembezi ya hisani na sio maandamano,thank you