MaT2B
JF-Expert Member
- Jul 12, 2019
- 387
- 969
Kama inavyoonekana kwenye Picha, hilo ni Tangazo la Ajira ya Madaktari( M.O), Afisa wauguzi (N.O) na (ANO).
Hospitali inataka watumishi hao wawe na sifa stahiki,
ila watalipwa 67.6% ya Mshahara wa kada husika.
Kwangu mimi nauona hii ni kama janja janja.
Hamuajiri watu, ili muwachukue kwa mkataba na muwalipe chini ya kiwango kinachotakiwa.
View attachment 2017836
Hospitali inataka watumishi hao wawe na sifa stahiki,
ila watalipwa 67.6% ya Mshahara wa kada husika.
Kwangu mimi nauona hii ni kama janja janja.
Hamuajiri watu, ili muwachukue kwa mkataba na muwalipe chini ya kiwango kinachotakiwa.
View attachment 2017836