Au mwakyambiki, kasonda,Watu wengine majina tu yanaonesha we mtu wa wapi, imagine mi naitwa Kashaija hapo kuna haja ya kuuliza kama mi ni muhaya?
Huko nasikia wengi kanda ya akina nanilihuuu...wachagga ati!Dah...kaombe kazi crdb kisha ulete mrejesho
Duuh hii ni ajabu, ina maana HR kama ni kabila fulani hampi kazi wa kutoka kabila fulani?Kuna baadhi ya makabila especially ya Mara kuwa kabila moja ndio disqualification;hawabebani
hahahaha..Kuna baadhi ya makabila especially ya Mara kuwa kabila moja ndio disqualification;hawabebani
CV inajieleza na self introduction lazima utaje your originKwani wanaulizwa kabira
Hiyo kitu mbaya Sana asee binafsi huwa sipendagi ukabila katika masuala ya Kazi , hata Mungu hapendi..Wakuu hilo lipo...Mimi nina ushuhuda....jamaa yangu aliitwa kufanya usaili shule ya sekondari moja ya private iliyopo kijiji cha Mtae...wilaya ya Lushoto Tanga....mwenye shule wakati wa interview aliposoma cv na kuona jamaa ni muhaya....pale pale alitahamaki na kumwambia interview imeisha...
Baadae yule manager alikuja kuwa muwazi kwamba wahaya hawapendi hadi anakwenda kaburini...
Lazima uweke mkuu na usipoweka lazima kwenye self introduction utaje sehemu ulikotokea
KUNA VITU VINGINE KUVIANDIKA KWENYE CV KWA BAADHI YA MAZINGIRA NI KUTOJIELEWA.
VITU KAMA KABILA, MKOA/WILAYA ULIPOZALIWA/DHEHEBU LA DINI
HAVINA ULAZIMA WA KUWEKWA KWENYE CV YA KUOMBEA KAZI,
VINAWEZA KUKUKOSESHA BAADHI YA FURSA.
MwakyembeKuna mambo mengine hayafichiki...wengine unamjua kabila lake kwa jina lake....Mfano...Masawe...Chacha....Rweyemamu...Mapunda...Kahulananga....Abyalimana
Kaskazin moja hiyoBeji au vitambulisho vya wafanyakazi wengi wa CRDB ni Temu, Shoo, Masawe, Shirima, Mlaki, Mlayi, Mushi, Mbolo,
Kuna baadhi ya makabila especially ya Mara kuwa kabila moja ndio disqualification;hawabebani
Yaap anataka kwenye sherehe,misiba yeye ndio ang'are kwenye ukoo awe anaongelewa yeye tu;anafurahi kuzungukwa na ndugu maskiniDuuh hii ni ajabu, ina maana HR kama ni kabila fulani hampi kazi wa kutoka kabila fulani?