johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,944
- 143,561
Nafanya kautafiti kadogo kutambua Uzalendo Wakati wa Vita na Uzalendo Wakati wa Anasa UPI ni Uzalendo sahihi mbele ya macho ya Mungu wa mbinguni
Kwa mfano 1978/79 watu waliwaacha Wapendwa wao na familia zao na kwenda Kulitetea taifa huko Mutukula Wengine walirudi Wengine walikufa Vitani
Lakini Wako wazalendo wa Leo ambao hawaendi msituni wao hulitetea taifa kwa kuvaa Tai za rangi ya bendera ya taifa, kuvaa mashati ya bendera na sasa Wengine wanaonesha Uzalendo kwa kufanya Maandamano
Sasa ninachotaka kujifunza ni Je, wale waliopigana Vita ya Kagera kama wapo Siasani bado Wana Uzalendo ule ule?
Nawatakia Sabato Njema ๐
Kwa mfano 1978/79 watu waliwaacha Wapendwa wao na familia zao na kwenda Kulitetea taifa huko Mutukula Wengine walirudi Wengine walikufa Vitani
Lakini Wako wazalendo wa Leo ambao hawaendi msituni wao hulitetea taifa kwa kuvaa Tai za rangi ya bendera ya taifa, kuvaa mashati ya bendera na sasa Wengine wanaonesha Uzalendo kwa kufanya Maandamano
Sasa ninachotaka kujifunza ni Je, wale waliopigana Vita ya Kagera kama wapo Siasani bado Wana Uzalendo ule ule?
Nawatakia Sabato Njema ๐