Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Nina flue, napiga chafya, nahohoa, naahirisha mwili unauma na kuchoka pia sina hamu yakula ila sina home.
Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.
Naomba jukwaa linishauri
Je inaweza kuwa ni Codid? Nianza dose ya Azuma.
Naomba jukwaa linishauri