Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,425
- 36,024
Kuna vitu vinachekesha lakini vingine vinatia kinyaa na kufedhehesha mnoo kwenye siasa za Tanzania.
Hivi kwa karne hii yenye kuhitaji wanasiasa wenye akili timamu, upeo na hekima, bado CCM iko usingizini kiasi cha kwenda kuokota watu wale wale wa ajabu ajabu mfano wa Paulo Makonda?
Hivi CCM hakuna tena watu wengine bora na imara mpaka kurudia watu wale wale wa ovyo kuwapa nafasi muhimu za kisiasa?
CCM haiamini tena watu wengine?
CCM haiandai tena viongozi wake?
CCM imeishiwa watu kiasi hiki?
Poleni sana wanaCCM.
Poleni sana chawa wa mama.
Hivi kwa karne hii yenye kuhitaji wanasiasa wenye akili timamu, upeo na hekima, bado CCM iko usingizini kiasi cha kwenda kuokota watu wale wale wa ajabu ajabu mfano wa Paulo Makonda?
Hivi CCM hakuna tena watu wengine bora na imara mpaka kurudia watu wale wale wa ovyo kuwapa nafasi muhimu za kisiasa?
CCM haiamini tena watu wengine?
CCM haiandai tena viongozi wake?
CCM imeishiwa watu kiasi hiki?
Poleni sana wanaCCM.
Poleni sana chawa wa mama.