Fabian Vitus
JF-Expert Member
- Jul 18, 2022
- 4,766
- 5,881
Nimejikuta kua mjanja mno lakini hii TV imenifanya niwe mshamba hakika naombeni msaada kwa yeyote mtaalam wakuchezea /mjanja waktumia hii Tv nisaidie Tv inaukubwa wa nchi 43 nimeharibu kuweka flash Tv uko zoom inajaa ila nikiunganisha na kisimbusi picha inabaki kuonyesha Kati Kati naomba mwenye kufaham setting ya hii TV anielekeze nifanyeje ili niweze kuiweka sawa