Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,438
- 2,242
Wakati Klabu ya YANGA inalalamika kutolewa kwenye Robo Fainal na Klabu ya MALELODI ya Afrika ya kusini kwa kudai kuna Upangaji wa Matokeo
Leo ktk Mchezo wa YANGA vs SINGIDA kumetokea Tukio la Kushangaza kwa Kitoweka kwa Golikipa tegemeo wa Singida kupotea kabla ya Mchezo.Tukio hili unaweza kulifanya kama ni Upangaji wa Matokeo Uliofanywa na YANGA ili iwarahisishie Ushindi YANGA .Kwa Tukio hili binafsi naamini YANGA imelipanga ili IPATE USHINDI vyombo husika FANYENI Uchunguzi.
Leo ktk Mchezo wa YANGA vs SINGIDA kumetokea Tukio la Kushangaza kwa Kitoweka kwa Golikipa tegemeo wa Singida kupotea kabla ya Mchezo.Tukio hili unaweza kulifanya kama ni Upangaji wa Matokeo Uliofanywa na YANGA ili iwarahisishie Ushindi YANGA .Kwa Tukio hili binafsi naamini YANGA imelipanga ili IPATE USHINDI vyombo husika FANYENI Uchunguzi.