Hii ndio Afrika tunayotaka

Kafrican

JF-Expert Member
Jan 26, 2015
7,212
6,972
Ukiiangalia hii video toka mwanzo hadi mwisho utakubaliana nami, huku ndo Africa tunafaa kuelekea, mambo ya kutegemea China kwa kila kitu tuache, imagine kitu rahisi kama router ya mtandao wa 4G ama decoder ya TV tunaagizia kutoka nje, je ushawahi kuifungua hapo ndani uangalie vile ni very simple circuit board!

Eti charger za simu hadi leo bado tunaagizia kutoka nje!!!! Hivi ni baadhi ya vitu tunafaa tuwe tunatengeneza wenyewe bana! tutaacha lini kutegemea kila technologia kutoka nje, huyu jamaa

 
Ni habari nzuri sana hii, kawaida utaalam huwa tunao ila changamoto huwa kwenye mazingira ya uzalishaji, wenzetu Ulaya au Uchina wana mazingira wezeshi na rafiki hadi kuweza kuzalisha kwa wingi kwa gharama nafuu.
 
Ni habari nzuri sana hii, kawaida utaalam huwa tunao ila changamoto huwa kwenye mazingira ya uzalishaji, wenzetu Ulaya au Uchina wana mazingira wezeshi na rafiki hadi kuweza kuzalisha kwa wingi kwa gharama nafuu.
Huyu jamaa angekua uzunguni angekua tayari kashapitisha billion in sales and investment ndani ya nchi yake... Cha kusikitisha ni kwamba most likely akienda kufanya pitch pale Kenya Power wanamdharau. Akili zao za utumwa zinawasukuma kuamini teknolojia ya Mzungu/mchina ni superior wakati clearly hio meter ya power ya huyu jamaa ni Kali zaidi kuliko zile zinazoekwa na Kenya Power Kwa sasa ambazo huagiziwa kutoka nje... Tena anaprovide African Solutions ambazo kule ugaibuni hawawezi kutufanyia, imagine uwezo wa kusambaza kwh token units kutoka Kwa meter moja Hadi Kwa mwenye amekatikiwa stima !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom