Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,525
- 6,470
Tangu 2015 JPM alipoingia madarakani, kubwa zaidi alifanikiwa ni kuua upinzani na CCM ilipata kutamba kweli kweli pasi na kupingwa na chama chochote
Muda mfupi tu tangu Rais Samia Suluhu kushika nafasi kuiongoza nchi hii upinzani umezikwa rasmi.
Kwa sasa Tanzania haina upinzani tena, si ACT, CUF wala CHADEMA kinaweza kuipinga serkali hii ya CCM chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa anayoyafanya Rais ni wazi sasa upinzani umezikwa hapa nchini baada ya kuuliwa na hayati Magufuli
Muda mfupi tu tangu Rais Samia Suluhu kushika nafasi kuiongoza nchi hii upinzani umezikwa rasmi.
Kwa sasa Tanzania haina upinzani tena, si ACT, CUF wala CHADEMA kinaweza kuipinga serkali hii ya CCM chini ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan
Kwa anayoyafanya Rais ni wazi sasa upinzani umezikwa hapa nchini baada ya kuuliwa na hayati Magufuli