Haya mafuriko ya leo Ifakara ni hatari

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Sep 30, 2011
18,518
34,322
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.

Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.

IMG_20240425_093249_084.jpg
 
Hiyo ni barabara ya Arusha Moshi maeneo ya King'ori, leo kuanzia saa Kumi alfajiri Hadi muda hii barabara imefungwa, magari hayapiti Kuna mkusanyiko mkubwa wa abiria maeneo hayo. Abiria Leo watachelewa kufika maeneo Yao, na wageni toka Arusha waliokuwa wanawahi ndege wamekutana na dhahama hiyo.
 
Hiyo ni barabara ya Arusha Moshi maeneo ya King'ori, leo kuanzia saa Kumi alfajiri Hadi muda hii barabara imefungwa, magari hayapiti Kuna mkusanyiko mkubwa wa abiria maeneo hayo. Abiria Leo watachelewa kufika maeneo Yao, na wageni toka Arusha waliokuwa wanawahi ndege wamekutana na dhahama hiyo.
Mafuriko yataathiri maandamano 🐼
 
Back
Top Bottom