Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,518
- 34,322
Muda huu maeneo ya kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
Kila kona ni balaaHichi kifurushi cha wiki ni balaa.
Jana walikua wapi, hivi wameshafika mbinguHii ni ya Jana wale wanaokimbiza Moto.
Bila picha ni uongo na unastahili …Muda huu maeneo ya Kwa shungu, katindiuka, na mbasa yamefurika maji.
Mamia kadhaa ya watu wameyakimbia makazi yao.
Watafikaje Mbingu wakiwa hai?Jana walikua wapi, hivi wameshafika mbingu
Hii ni ifakara Jana Tu.Bila picha ni uongo na unastahili …
Lumemo imetemaViwanja 60 vipi huko ,kule karibu na uwanja wa taifa
Ni wapiii hapa?Hii ni ya Jana wale wanaokimbiza Moto.
Mafuriko yataathiri maandamano 🐼Hiyo ni barabara ya Arusha Moshi maeneo ya King'ori, leo kuanzia saa Kumi alfajiri Hadi muda hii barabara imefungwa, magari hayapiti Kuna mkusanyiko mkubwa wa abiria maeneo hayo. Abiria Leo watachelewa kufika maeneo Yao, na wageni toka Arusha waliokuwa wanawahi ndege wamekutana na dhahama hiyo.
Bwawa limepasuka huko juu mawinguni!Kwani kuna bwawa huko nako?