Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
Mmemsahau karamage mkewake nimzungu .alikuwaga jiraniyetu kitambohicho anafanyakazi saruji nababangu.
Ni kweli kabisa Mkuu, ni Mrusi ila nasikia waliachana, ahsante kwa mchangoMmemsahau karamage mkewake nimzungu .alikuwaga jiraniyetu kitambohicho anafanyakazi saruji nababangu.
na Bonta naye kaoa mzungumbona mmemsahau fid Q na harmonize? au hao sio wahenga?
Mzungu aki cross na mwafrika watoto wanapatikana wazuri sana, shida ni mwafrika across na ....[malizia]
Mkuu weka picha ya huyo mke wa fid tumuonembona mmemsahau fid Q na harmonize? au hao sio wahenga?
astaghafilullahKimbembe ni mbongo akicross na hawa wajenga barabara na majengo marefu/meli ya matibabu
Kitoto kinatoka kimevimba macho
bahati mbaya nafungua jf kwa freebasics (mb zipo 0) ila anapatikana Google Image mkuu.Mkuu weka picha ya huyo mke wa fid tumuone
Wee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.Heshima kwenu wakuu!
Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu.
Kwa kuanzia, nimepata orodha fupi, ya mzee Kingunge, naambiwa mkewe ni Mrusi, lakini pia Profesa Sarungi naye mkewe ni Mrusi, Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Binilith Mahenge naye alivuta jiko kutoka mbele sambamba na marehemu Dokta Remmy ambaye naye ameacha mjane Mzungu.
Nitashukuru kama nitapata ushirikiano chanya!
Wasalaam.View attachment 638750
Profesa Sarungi akiwa na ubavu wake.
View attachment 638751
Mzee Kingunge akiwa na wa ubani wake.
Mkuu weka picha ya huyo mke wa fid tumuone
Kimbembe ni mbongo akicross na hawa wajenga barabara na majengo marefu/meli ya matibabu
Kitoto kinatoka kimevimba macho
Kwahiyo hiyo product inakuongezea kipato?? Au ni watoto wa kawaida tu!Kweli mkuu.
Kuna demu nilikuwa naye siku zilizopita, yaani alikuwa akiliongelea sana.
Alikuwa akiongea product ya mzungu na mwafrica(watoto) wanakuwa wazuri mno.
Mungu amsaidie sana japo hatukufanikiwa lengo letu.
Kwahiyo mdr tu ndo wanaongoza kuoa wazunguDr winani from Tarime pia mkewe ni mzungu, bila kumsahau Dr Sanga lecturer st john pia mkewe ni mzungu, ila huku mtaan kwetu sie tunajiachia na waarabu na wahindi mazalia, karibu sana salawi upate wife materia rangi nyeupe ( waarabu na wahindi)
Asili AsiriWee ni muongo mke wa Kingunge ni muhaya wa kamachumu,Muleba Ila ana asiri ya India.Anaongea kihaya pure.Hana unasaba wowote na Uzungu.